Njia zipi za kumgundua mpenzi muongo?

Njia zipi za kumgundua mpenzi muongo?

believer

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
639
Reaction score
216
Msaada najua vipo vingi vikubwa na vidogo vidogo vinavotoa ishara mpenzi muongo ktk mahusiano mf matumiz ya siri siri ya simu nk ,wadau fungukeni
 
Believer kizuri unaweza kufanya kwa nafsi yako na huyo mpenzi wako ni kumuamini tu,kama humuamini jitahidi umuamini,ukimuamini atakuamini,atakuheshimu na mtaendelea vyema mke/muma halindwi kwa bastora au shushu utaishia kujiumiza tu au kumuumiza mwenzio(be it emotional or physical)
 
Nimekupata gilo24 ukizingatia naitwa believer i got to believe,km kuna kitu unakwazwa iwe kdg au kikubwa n vema kujadil na mwenza mapema right?
 
Soko huria la mapenzi kwa sasa,ni ngumu kugundua mpenzi mwongo maana inategemea na wewe una mtreat vipi maana kila kitu kina kinyume chake-everything has got its opposite.
 
mtu muonngo huhitaji mbinu za kumkamata
waongo ni wepesi wa kusahau..
ataongea kitu leo
kesho kasahau...
 
Back
Top Bottom