jasyfabiano
Member
- Dec 19, 2014
- 18
- 34
Habari za mida wasaka tonge wenzangu,
Nimekuwa natamani na mimi nimiliki biashara yangu,ila changamoto inakuwa kwenye mtaji wa kuanzishia hiyo biashara.
Njia zipi labda zinaweza kunisaidia kupata mtaji?
Nimekuwa natamani na mimi nimiliki biashara yangu,ila changamoto inakuwa kwenye mtaji wa kuanzishia hiyo biashara.
Njia zipi labda zinaweza kunisaidia kupata mtaji?