Njia za kiasili za kuongeza nguvu za kiume ni zipi?

Njia za kiasili za kuongeza nguvu za kiume ni zipi?

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
11,763
Reaction score
27,149
Usihitaji kujua kwanini hii nyuzi imeshuka asubuhi asubuhi.
Kama unazifahamu njia za kiasili ambazo siyo dawa za viagra, share hapa kwa manufaa ya wengi. Asante!

Young man unhappy.jpeg
 
Huu mshangazi bwana una hekaheka nyingi sana..

anyway kwa msaada zaidi soma hapa

👇👇

 
Usihitaji kujua kwanini hii nyuzi imeshuka asubuhi asubuhi.
Kama unazifahamu njia za kiasili ambazo siyo dawa za viagra, share hapa kwa manufaa ya wengi. Asante!

View attachment 3281393
Umeachwa na upwiru

Swali ni, inagoma kusimama au inasimama ila anatumia muda mchache? Au ndio mnalala kama wanaume watupu?
 
Back
Top Bottom