SAIZI YANGU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 381
- 83
Jamani naombeni kujua barabara tutakazotumia hapa Dar siku ya trh 01 Septemba wakati wa maandamano ya UKUTA.
Jamani naombeni kujua barabara tutakazotumia hapa Dar siku ya trh 01 Septemba wakati wa maandamano ya UKUTA.
Wazee wa kujipendekeza, kujikombaNenda kituo cha POLISI kilicho karibu nawe kaulize pale counter
Nenda kituo kikuu cha polisi Dar ofisi za kanda maalumu watakupa ratiba kwa Kamanda Simon N.Sirro ni mpole sana atakupa maelekezo yote kama elimu tu wala hatakupa kibano ni mstaarabu mnoJamani naombeni kujua barabara tutakazotumia hapa Dar siku ya trh 01 Septemba wakati wa maandamano ya UKUTA.
Siku hiyo imetengwa kwaajili ya maadhimisho ya Jeshi letu JWTZ tu.Jamani naombeni kujua barabara tutakazotumia hapa Dar siku ya trh 01 Septemba wakati wa maandamano ya UKUTA.
Unalipwa shilingi ngapi Sahivi...Nenda kituo cha POLISI kilicho karibu nawe kaulize pale counter
Nenda kituo cha POLISI kilicho karibu nawe kaulize pale counter
Jamani naombeni kujua barabara tutakazotumia hapa Dar siku ya trh 01 Septemba wakati wa maandamano ya UKUTA.
Acha umbea hukuulizwa Wewe, funga bakuli lakoNenda kituo cha POLISI kilicho karibu nawe kaulize pale counter