Njia rahisi kabisa ya kuroot smartphone yako ya Android

Njia rahisi kabisa ya kuroot smartphone yako ya Android

Wakuu nimefanikiwa kuroot tecno yangu kwa kutumia kingroot. Nimegundua kumbe ukiroot simu inakuwa nzuri sana.
Hii simu nilinunua 230,000 lakini baada ya kuroot nimeona kama ina thamani hata ya 400,000.
 
kabla ya kuroot fikilia hv...UNATAKA KUROOT KWA SABAB ZIP...KTU GAN UMEKOSA MPAKA UROOT....kama umekosa majbu....UCTAKE KUHARIBU CMU BURE BILA SABAB ZA MCNG KUNA MTU MPAKA LEO ANALIA CMU ISHAKUWA JANGA KUROOT HUKOHUKO HVO VTU NI ILLEGAL....
Ushauri wa bure kabisa huu.
Tahadhari usiafanye jambo kwa kuiga au kwa kutaka uonekane na wewe unakwenda na wakati.
 
Unaporoot simu unajiweka kwenye risk zaidi ya watu ki hijack simu yako na ku take control wakiwa mbali
 
Je ninaweza kuchange muoneka wa pale juu kwenye noticification kama betri saa??
 
Mnaulizwa kuroot Simu ndo kufanyaje na faida zake hamjibu hebu jibuni acheni kuzuga
 
Wakuu nimefanikiwa kuroot tecno yangu kwa kutumia kingroot. Nimegundua kumbe ukiroot simu inakuwa nzuri sana.
Hii simu nilinunua 230,000 lakini baada ya kuroot nimeona kama ina thamani hata ya 400,000.
Sijaelewa statment yako
Ndio unaweza ukiroot
Mkuu uki root simu haibadiliki. Acha kupotosha umma. Hadi u struggle kidogo kuhusu cmw/twrp na custom roms.
Halafu mkuu nini faida za ku root simu..
Acha uvivu soma thread yote kisha ndo u comment.
sio simu zote samsung advance yangu imekataa
We ni muongo. Au simu yako ni clone. Achana na haya mambo...
Ku-root cm, ku-root cm ndo nn hii kitu naickia sn ati? Na nn faida zake? (Msaada tutani)
Pitia pitia hili jukwaa vizuri. Tulishajadili hilo.
Huawei y 300 imegoma.. pia y 530 imegoma nitumie app ipi waungwana
We muongo. Izo simu ni simple zaidi. Umetumia app gani? Nimesema tumia kingroot app v 4.0.5
kabla ya kuroot fikilia hv...UNATAKA KUROOT KWA SABAB ZIP...KTU GAN UMEKOSA MPAKA UROOT....kama umekosa majbu....UCTAKE KUHARIBU CMU BURE BILA SABAB ZA MCNG KUNA MTU MPAKA LEO ANALIA CMU ISHAKUWA JANGA KUROOT HUKOHUKO HVO VTU NI ILLEGAL....

Hitimisho zuri kabisa


Cc kcamp
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom