Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,043
Hii kwangu imekuwa ni kero hadi mtu unakosa amani kutoka out!
Wakuu ni njia gani unaweza kutumia ili usijulikane kama ni wewe unapokuwa viwanja?maana utakuta umekutana na videmu ulivyoviambia umesafiri kumbe hata hujasafiri na adha nyingine za kukutana na watu ambao haukupanga kukutana nao bila mpangilio!
Kujulikana kwa sana ni mzigo walahi!mtu unakuwa na presha 24hr!
Tupeane mbinu gani tutumie tusijulikane na wanaotujua tuwapo outing!
Wakuu ni njia gani unaweza kutumia ili usijulikane kama ni wewe unapokuwa viwanja?maana utakuta umekutana na videmu ulivyoviambia umesafiri kumbe hata hujasafiri na adha nyingine za kukutana na watu ambao haukupanga kukutana nao bila mpangilio!
Kujulikana kwa sana ni mzigo walahi!mtu unakuwa na presha 24hr!
Tupeane mbinu gani tutumie tusijulikane na wanaotujua tuwapo outing!