APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,048
- 8,628
Jitwale kuno tujhibhombe.............................Haibiwi mtu hapa......................Duh! Imbombo jilipo
Jitwale kuno tujhibhombe.............................Haibiwi mtu hapa......................Duh! Imbombo jilipo
Hata mimi nilitumiwa moja kama hii.....nilimwambia nina basi mia moja uko wapi nikupe bilioni uzindike.....hakurudi tena mpaka leoTapeli anatuma huu ujumbe;
"Bw Jolam nashukuru kwa kunishukuru nilivyokusaidia umepata utajiri umefunguwa maduka ya jumla na umenunuwa daladala hongera kwa kufuata masharti badirisha hizo dawa kwenye magari mimi nitakuja huko bado nipo kwa mwarabu nazindika mabasi yake ila nasikitika yule ndugu yako pakomi wa bukoba nimemsaidia akiwa mbali amepata utajiri hataki kuja kunishukuru ananitumia hela tu asizani magari na majumba kafika naweza kumfilisi embu nipigie nikupe maelekezo”.
Namba inayotuma Ujumbe, 0755370384
Huu ni utapeli mwingine na ni uhalifu kama uhalifu mwingine wa kimtandao. Huyo anajifanya kakosea namba, ili ukitafakari na maisha magumu basi umpigie then unafikiri nini kitafuata...
Mimi nilishatumiwa sms hiyo japo namba tofauti nlipompigia akanifanya alikosea namba nikaomba kuonana nae ili anifanyie "settings" hii biashara yangu ya "Vitanda vya jumla" a.k.a (majeneza) iende vizuri nipate wateja wengi matajiri hasa wabunge na mawaziri maana hao ndio hununua majeneza classic.Tapeli anatuma huu ujumbe;
"Bw Jolam nashukuru kwa kunishukuru nilivyokusaidia umepata utajiri umefunguwa maduka ya jumla na umenunuwa daladala hongera kwa kufuata masharti badirisha hizo dawa kwenye magari mimi nitakuja huko bado nipo kwa mwarabu nazindika mabasi yake ila nasikitika yule ndugu yako pakomi wa bukoba nimemsaidia akiwa mbali amepata utajiri hataki kuja kunishukuru ananitumia hela tu asizani magari na majumba kafika naweza kumfilisi embu nipigie nikupe maelekezo”.
Namba inayotuma Ujumbe, 0755370384
Huu ni utapeli mwingine na ni uhalifu kama uhalifu mwingine wa kimtandao. Huyo anajifanya kakosea namba, ili ukitafakari na maisha magumu basi umpigie then unafikiri nini kitafuata...
Injala niyo ikukole umumwale kutyo mkaluka.?Mweee Injala Baba
HahahahahaNa pengine ni wewe pia nani anajua?