Hapa umeongea ukwel (mengine sikubaliani na wewe). Na sabb kubwa ni kwamba ccm wanafaidika Sana na tume hii. Kwahiyo hawawezi kunoa kisu kitakachowakata wao.Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo
Hapa umeongea ukwel (mengine sikubaliani na wewe). Na sabb kubwa ni kwamba ccm wanafaidika Sana na tume hii. Kwahiyo hawawezi kunoa kisu kitakachowakata wao.Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo
Ingependeza kama ungeelezea kwa kina njaa waliyonayo Mbowe na wenzake, weka hoja yako sawa, umesema wana njaa unamaanisha unajua vzr sana inner circle yao bas tueleze kwa undani njaa waliyonayo na nn kimefanya mpaka uone wana njaa.Ndugu zangu,
Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.
Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.
Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.
Muda utathibitisha
Mi naona CHADEMA wamedandia msimamo wa CUF bila kujipanga. Ukweli CHADEMA hawatadumu kwenye msimamo huu hasa ukizingatia ACT hawajasusa.
Rubbish post.
Hujawahi kuwa na Hoja Mataga.Kamanda jenga hoja...acha kuweweseka
Kwani wewe ni njaa ndiyo ilikufanya uwe mcheza shoo wa Madelu System?
Hujawahi kuwa na Hoja Mataga.
Kampikie mumeo wewe achana na ChademaNdugu zangu,
Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.
Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.
Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.
Muda utathibitisha
Chadema punguzeni kumtesa huyu kijana jaman hadi 2025 atakuwa na mviNdugu zangu,
Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.
Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.
Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.
Muda utathibitisha
Duh!MATAGA mnahaha. Mliingizwa mkenge na Mwendazake kuwa atadumu milele, kaondoka, kawaacha yatima, hamna pa kushikilia. Mtaisoma namba
Ndugu zangu,
Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.
Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.
Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.
Muda utathibitisha
Kampikie mumeo wewe achana na Chadema
Ukitaka kujua uchaguzi hapa Tanzania umepuuzwa, pitia social media zote uone kama kuna popote kuna matokeo rasmi ya huu uchafu wa juzi uitwao uchaguzi. Ingia kwenye tovuti ya tume huko ndio aibu ya karne. Matokeo yaliyowekwa ni ya jimbo moja, nayo yana maelezo duni na kujichanganya, idadi ya wapiga kura iliyojitokeza ni ya kupika, idadi ya vyama vya siasa vilivyoshiriki ni ya kupika. Ukimsikiliza Zito, kwa aibu hataji idadi ya kura alizopata, bali anataja % maana baada ya kuvuta mpunga, inabidi wakae na ccm ili wapike idadi ya wapiga kura. Je katika uchaguzi huu umeona popote picha za misururu ya wapiga kura, maana picha za wakati wa kampeni zipo, mbona hakuna za siku ya kupiga kura?
Kama ni njaa cdm walitakiwa iwe imeshawapata na waamue kushiriki huo uchafuzi, mbona hawakujitokezi kushiriki huo ushenzi? Na hata kama cdm wao kama chama wataamua kushiriki bila kuwa na tume huru ya uchaguzi, bado sisi wananchi hatutajitokeza kushiriki huo upuuzi. Bila machafuko hakuna mabadiliko yoyote yatatokea, na kwa hali ilivyo ccm imeshachoka kushindana kisiasa, bali wanaona aibu kushindwa, na kuna viongozi waliokula na kusaza kwa wizi, wanaogopa chama kingine kikiingia madarakani wataishia jela. Hivyo kundi hili ndilo limeingiza, ndugu, jamaa na marafiki kwenye mlo, na wana makubaliano ya kutoachia madaraka kwa amani.
Huna hoja Mama kalee mumeoJenga hoja
Yule mumewe bozi boziana?Huna hoja Mama kalee mumeo
Yule mumewe bozi boziana?
Jamaa lipo tuu, na mambo yaliharibika pale Unaibu ulipoota mbawa. Wakudadavuwa kama una bisha nyanyua mkono juu tuu, fanya kama unajikuna nifunguke hapa, Ebo!
Ungeacha kwanza wewe bingwa wa kuweweseka. Hivi kwako CHADEMA si iliishakufa? Vipi tena?Kamanda jenga hoja...acha kuweweseka
Tatizo lako unataka uone mjadala wa kejeli,watu wameshiriki kistaarabu kwenye majimbo yao