Njaa inapohamia kichwani......

Sir_Mimi

JF-Expert Member
Jun 21, 2013
7,171
15,758
Mkuu wa mkoa wa Dodoma akimuaga boss wake anaemuweka mjini
03627a1ff197be1e4868bce55fa682f8.jpg
unamsujudiaje binadam mwenzako!!!
09330b6662bf20ceee3e090741b1f317.jpg
Tanzania ya sasa hakuna,na hatokuwepo wakuyafuata maneno haya maana wote wanayatumikia matumbo yao.
 
Matatizo ya kujua kusoma na kuandika tu! Angekuwa na elimu hata ya form four na kacheti kake original Haya yote yasingekuwepo
 
Labda alikuwa anaomba,"pls,pls ninaomba unipumzishe mkoa umenishinda na hivi tena ndio makao makuu kwa kweli hii kazi siiwezi".
 
Mkuu wa mkoa wa Dodoma akimuaga boss wake anaemuweka mjini
03627a1ff197be1e4868bce55fa682f8.jpg
unamsujudiaje binadam mwenzako!!!
09330b6662bf20ceee3e090741b1f317.jpg
Tanzania ya sasa hakuna,na hatokuwepo wakuyafuata maneno haya maana wote wanayatumikia matumbo yao.
Mkuu umenifurahisha sana hapo uliposema anamuaga boss wake anayemuweka mjini.
 
Mkuu wa mkoa wa Dodoma akimuaga boss wake anaemuweka mjini
03627a1ff197be1e4868bce55fa682f8.jpg
unamsujudiaje binadam mwenzako!!!
09330b6662bf20ceee3e090741b1f317.jpg
Tanzania ya sasa hakuna,na hatokuwepo wakuyafuata maneno haya maana wote wanayatumikia matumbo yao.
viongozi kama hawa hata akiambiwa wavue nguo watatii
 
Najiuliza maswali mengi sana hasa nikimkumbuka PhD holder mmoja aliyetenguliwa cheo kama hicho mkoani Morogoro.

Mpaka leo roho inaniuma sana, unajua kuwa Rais wa mkoa ni pepo ya kiaina sema wengi hatujui, nakumbuka zamani jinsi mkuu wa mkoa alivyokuwa na uwezo wa ku-rob maliasili
 
Kuna wakati nawaza hii nafasi ya urais bora tusingekuwanayo.
Hasa pale anapoishikilia mtu mwenye visasi na asie na vision.huyo mkuu wa mkoa kwa uwoga anaounyesha hapo hata ktk mkoa wake wafe watu kumi kwa njaa na ithibitike kitaalamu kwamba wamekufa kwa njaa atakuwa radhi kutangaza tofauti na hivyo maana atakuwa na nidhamu ya uwoga na kujipendekeza kwa rais ili aonekane bora.ujinga kabisa.
 
Back
Top Bottom