Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kiungo nguli wa kibongo anaekanga ndimu pa canada Nizar Khalfan leo aliitembelea white house ya tz!
Akiwa sambamba na wadhamini wake aliweza kumsalimia rais na kutoa msaada wa jezi ya timu anayoitumikia ya Vancuva White caps yenye namba 04 sambamba na jina la rais Kikwete!
Hajampa na tende???Kiungo nguli wa kibongo anae kanyaga ndimu pale canada Nizar Khalfan leo aliitembelea white house ya tz!<br />
Akiwa sambamba na wadhamini wake aliweza kumsalimia rais na kutoa msaada wa jezi ya timu anayoitumikia ya Vancuva White caps yenye namba 04 sambamba na jina la rais Kikwete!
hahahahahahaduh, hivi raisi ana jezi ngapi mpaka sasa na mbona hazivai au uwa anampa riz1?
<br /><font size="3">kumbe ni jezi tu.................huh</font>
Boxxer<br />
<br />
Tehee! Tehee! Tehee! Mkuu ulitaka kingine nini?
Kwa mara ya kwanza nakutamkia kwamba hizi ni pumba na hazina nafasi hapa JF. Jezi ndio kumwaga msaada!! ebu acheni upumbavu kama huna la kundika sio lazima uanzishe thread, soma za wenzako na uchangie, huu ni utoto unaotuletea hapa.Kiungo nguli wa kibongo anae kanyaga ndimu pale canada Nizar Khalfan leo aliitembelea white house ya tz!<br />
Akiwa sambamba na wadhamini wake aliweza kumsalimia rais na kutoa msaada wa jezi ya timu anayoitumikia ya Vancuva White caps yenye namba 04 sambamba na jina la rais Kikwete!