Niweke Jacuzzi au ni ufahari?

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,201
Reaction score
138,562
Bafu la Master Bedroom lina nafasi ya kutosha. Ninaweza kuweka kila muhimu ikiwemo sehemu ya mashine ya kufulia nguo.

Moyo unaniambia niweke Jacuzzi, akili inaniambia acha ufahari, utafanyia nini cha maana?

Hebu tushauriane hapa wakuu
 
Bila picha hatuwez eleza tuna imagine tu
Picha ya chumba cha bafu ama jacuzzi lenyewe?

Jacuzzi si ni yale mabafu ya kuogeleamo kama bata?

Ya kisasa yanachemsha maji kwa joto unalolitaka mwenyewe.

Ila hapa East Africa kidogo yana bei iliyochangamka, labda uangukie kwenye used, hapo kidogo kuna afueni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…