Niwe upande gani?

Niwe upande gani?

mgosimtata

Member
Joined
Jul 5, 2014
Posts
35
Reaction score
5
Kuna rafiki yangu alikua na mpenzi wake kipindi yupo chuo (mkoan), kiukweli walikula good tym sana rafiki yangu kamaliza chuo karudi kwao na yule mpenzi wake kamuacha hukohuko mkoani.

Sasa huyu shemeji yangu kanipigia simu anauliza jamaa yupo wapi maana kule kaondoka kamuacha yeye ni mjamzito na jamaa apokei simu akmipigia.

Pia kaniulza wazazi wa jamaa wnaishi wapi? Nilipojaribu kumuulza indirect huyu rafiki kasema kua alishamtua yule binti. Bint ianalalamika sana ananiomba nimsaidie either ampate uyu rafiki anglau nimsaidie awapate wazazi wa rafiki yangu.

Je nimsaidie rafiki yangu kuikimbia mimba au nimsaidie binti ampate rafiki yangu
 
wewe mwenyewe umeishia darasa la ngapi au ni haraka ya uandishi tu.?
Msaidie rafiki yako,kwani unajua sababu iliyomfanya aitelekeze mimba....!?
 
wewe mwenyewe umeishia darasa la ngapi au ni haraka ya uandishi tu.?
Msaidie rafiki yako,kwani unajua sababu iliyomfanya aitelekeze mimba....!?

Binafsi cshabikii upande wowote ktk apo na kwa upande wa darasa may b nmekuacha paref
 
Binafsi cshabikii upande wowote ktk apo na kwa upande wa darasa may b nmekuacha paref

Kwa uandishi huu nani umuache parefu..?
Sasa kama hushabikii upande wowote ule mada hii inalenga nini?
Au hukijui ukifanyacho?
 
Kwa uandishi huu nani umuache parefu..?
Sasa kama hushabikii upande wowote ule mada hii inalenga nini?
Au hukijui ukifanyacho?

Have u ever been a futball referee? ungekua unapgwa daily.
NB; if u are a mediator u dont hv to band to1side
 
kuna rafik ang alkua na mpenz wake kipnd yupo chuo(mkoan),kiukwel walikula good tym sn sasa rafk angu kamalza chuo karud kwao na yule mpenz wake kamuacha ukouko mkoan.
Sasa uyu shemej angu kanpgia cm anaulza jamaa yupo wap maana kule kaondka kamuacha yey ni mjamzto na jamaa apokei cm akmpgia,pia kaniulza wazaz wa jamaa wnaish dar au mkoa?nlipojarib kumuulza indirect uyu rafk kasema kua alishamtua yule bint. bint analalamika sn ananiomba nimsaidie either ampate uyu rafk ang au nimsaidie awapate wazaz wa rafk ang. je nimsaidie rafk ang kuikmbia mimba au nimsaidie bint ampate rafk ang

kwa akili za kawaida za kibinadam we unaona nani kati ya hao anahitaj msaada!!?.aaargg maswali mengine bana ya kitoto kabisa!!
 
wewe mwenyewe umeishia darasa la ngapi au ni haraka ya uandishi tu.?
Msaidie rafiki yako,kwani unajua sababu iliyomfanya aitelekeze mimba....!?

Igwe like this....
 
Have u ever been a futball referee? ungekua unapgwa daily.
NB; if u are a mediator u dont hv to band to1side

Uandishi wako ndio tatizo mkuu,...jaribu kuwa serious unapotaka kupresentjambo kwenye public
 
Kuwa upande wa Ujeremani ww wajanja wote tumehamia huko Brazilli ni kimeoooooooo kimeo ha ha ha ha haaaaa
 
mtafute huyo binti kwanza, kama fresh unapumzika kabisa, then msaada wafuata..
 
Mpe msaada huyo binti tafathali kwa sababu huyo jama ni muhimu avune alichopanda.
 
Back
Top Bottom