wazabangah1
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 315
- 114
Habari za usiku wana jf, kwa jina naitwa wazabanga, nilikua nashida kidogo, naweza kusema nitatizo au nikutokuelewa kwangu, kuna mwanamke nimetokea kuelewana nae sana, mwanzo tulipokutana ilikua nikwenye pub moja hivi ilioko maeneo ya kitaa chetu yeye kwa pale ni muhudumu basi kijana wenu nikarusha ndoano, ikakamataa kweli nikaomba mchezo nikapewa bila hiana, ili sikusahau jezi! Tuliendelea vile takriban mwiz huku mawasiliano yakipamba moto! Kuna kipindi hapa nyuma before Xmass aliniita nakuniambia ebana Mimi hii mipira yako inaniumiza Sana kwanini tusiende kucheki afya kama nikuacha kutumia tujue moja! Nikamwambia sawa tufanye hivyo! Ila mm kidogo nilikua nakauoga hivi! Nakapata root moja hivi ya babati ya kikazi kama siku 5 niliporejeaa ikabidi nimtafute kweli tukaonana na kabla yakufanya chochote akanilitea karatasi ya Hosp inayonyesha majibu yalikua hivi => HIV no reaction then at the back paliandikwa rejea 14 January akaniambia imebaki we ila hio January inabid twende wote, nkamjibu sawa! Sasa basi juz Xmass nilifika hapo kunapo pub yao baada ya boss Wake kunipigia simu kua MTU wangu amekunywa na amelewa ananihitaji, nilikpofika kweli alikua kapendeza na hata kuhudumia ilkua ni shida ili kwa mbali anajitambua ikabidi niondoke nae hadi mahali ambapo amepangisha room yake nilipofika nakampinguza baadhi ya nguo na kumlaza kitandani ili apate kupumzika ila mm ilinibid nikae kwenye kochi huku nikiwa nasimu yangu nachezea katka pita pita nkakutana na album ya picha kungalia vzr nkakuta picha imepigwa akiwa na mtoto Mdogo mpk Mtoto huyo amekua Mkubwa asubuh nilipoamka nikamuuliza akasema niwake na hua anakuja kumsalimia kwa kweli nilijihis inferior Sana ila nilijipa moyo konde nkasema ngoja niwaulize rafiki zangu je kunaumuhim wa mm kuendelea nae au kuwa mbali kuepuka misuguano ya hapo baadae! Hiki kitu kinaniumiza kichwa kwakweli nampenda ila situation hio kidogo inanipa walakin naomba ushauri kwa hilo. Msinicheke na samahan kwa ujumbe wangu mrefu