Hujui unachoongea na kuandika..kaa kimya..ipad utafananishanna huo uchafu wa lenovo sijui ..mxxxxx
Sidhani kama unafahamu ninachozungumzia. And ofcourse sitegemei ukafahamu
Na hapana sikutaka simu kwa sababu ninayo simu tayari ya Samsung.
Haya ndiyo matatizo niliyokutana nayo
1. RAM ya ipad 2 ni ndogo sana na hii inasababisha ipad 2 kushindwa kuhimili prog nyingi kwa wakti mmoja. Mfano ukiwa unatumia Safari browser au app nyingne ina tabia ya kujifunga au utakuta kila ukihama page ukirudi ile ya mwanzo lazima ireload
2. Ugumu wa kupata apps zinazokidhi mahitaji kutoka itunes.
Nilitaka video downloader. Ilichukua muda sana
3. Flash player kwenye ipad 2 haipo na app zake mpaka ununue. Hivyo nashindwa kustream live events kitu ambacho ni kawaida kwa computer za kawaida
4. Uwezo wake wa kukamata internet ni mdogo sana.
Mimi nimetumia internet humu kwenye ipad ipo slow sana lakini line hiyo hiyo ukitether kutoka device nyingne au ukitumia kwenye device nyingne internet ni nzuri kabisa
5. Utumiaji wa micro chip ni changamoto pia
6. Huwezi kuingiza au kutoa file au kuhamisha kwenye ipad mpaka uwe na computer yenye itunes.
7. Huwezi kudownload file kawaida kwenye mtandao. Siku hizi kuna apps lakini sii nzuri sana
8. Ni ngumu kusoma mafile ya Microsoft. Siku hizi ndio wameweka apps chache appstore lakini sio za uhakika
Na nimemshauri hivyo kutokana na vitu vya kawaida ambavyo watu wengi hutaka kutumia
Halafu nashangaa kwa nini unaniambia sijui ninachotaka, wewe unajua ipad hii nimeipata wapi?
Kuwa na heshima unavyojibu comment za watu.
Siku njema
Hahahaha !! 😂😂 pointless ulichokisema hapo hakiendani kabisa na ipad 2. Na hiyo point namba 5 😂😂 imejieleza upo nyuma kiasi gani
Hahahaha !! 😂😂 pointless ulichokisema hapo hakiendani kabisa na ipad 2. Na hiyo point namba 5 😂😂 imejieleza upo nyuma kiasi gani
If unataka poa nicheki 0685661790.
Inasumbua vitu hivi
1. Touch screen imepungua sensitivity. Na kuna wakati nikiwa natype kuna keys ukitap hazitoi herufi mpaka utype mara mbili tatu au zaidi
2. Ukiwa unatype unaweza ukaandika
e yenyewe inakuletea "eeeeeeee"
And ukitype herufi yenyewe inatype ya pembeni yake kwenye keyboard
3. Nikiwa naangalia movie au nipo kwenye browser utakuta inaanza kujizoom in and out yenyewe
4. Haya yote yanaondoka temporarily nikibonyeza power button na kurudi.
Ndiyo maana nimemwambia ipad 2 yangu ina matatizo siyo ya kumuuzia mtu.
Inasumbua na kwa kweli sidhani kama nipo tayari kuitengeneza coz it's likely kuwa bei kubwa.
Mwaka jana ilidondoka screen ikapata cracks. Kuchukua screen mpya ilikuwa laki na kitu.
Nimeona comments zako mkuu , Nimeona ni reply hii .....
solution ya hiyo iPad ni kununua ipad nyingine ambayo Ina iCloud lock then badilisha motherboard yako weka kwingine , ur problems will be solved , Kwa maelezo zaidi nipe pm Kwa cost n.k
i concur with You!Sidhani kama unafahamu ninachozungumzia. And ofcourse sitegemei ukafahamu
Na hapana sikutaka simu kwa sababu ninayo simu tayari ya Samsung.
Haya ndiyo matatizo niliyokutana nayo
1. RAM ya ipad 2 ni ndogo sana na hii inasababisha ipad 2 kushindwa kuhimili prog nyingi kwa wakti mmoja. Mfano ukiwa unatumia Safari browser au app nyingne ina tabia ya kujifunga au utakuta kila ukihama page ukirudi ile ya mwanzo lazima ireload
2. Ugumu wa kupata apps zinazokidhi mahitaji kutoka itunes.
Nilitaka video downloader. Ilichukua muda sana
3. Flash player kwenye ipad 2 haipo na app zake mpaka ununue. Hivyo nashindwa kustream live events kitu ambacho ni kawaida kwa computer za kawaida
4. Uwezo wake wa kukamata internet ni mdogo sana.
Mimi nimetumia internet humu kwenye ipad ipo slow sana lakini line hiyo hiyo ukitether kutoka device nyingne au ukitumia kwenye device nyingne internet ni nzuri kabisa
5. Utumiaji wa micro chip ni changamoto pia
6. Huwezi kuingiza au kutoa file au kuhamisha kwenye ipad mpaka uwe na computer yenye itunes.
7. Huwezi kudownload file kawaida kwenye mtandao. Siku hizi kuna apps lakini sii nzuri sana
8. Ni ngumu kusoma mafile ya Microsoft. Siku hizi ndio wameweka apps chache appstore lakini sio za uhakika
Na nimemshauri hivyo kutokana na vitu vya kawaida ambavyo watu wengi hutaka kutumia
Halafu nashangaa kwa nini unaniambia sijui ninachotaka, wewe unajua ipad hii nimeipata wapi?
Kuwa na heshima unavyojibu comment za watu.
Siku njema
Sidhani kama unafahamu ninachozungumzia. And ofcourse sitegemei ukafahamu
Na hapana sikutaka simu kwa sababu ninayo simu tayari ya Samsung.
Haya ndiyo matatizo niliyokutana nayo
1. RAM ya ipad 2 ni ndogo sana na hii inasababisha ipad 2 kushindwa kuhimili prog nyingi kwa wakti mmoja. Mfano ukiwa unatumia Safari browser au app nyingne ina tabia ya kujifunga au utakuta kila ukihama page ukirudi ile ya mwanzo lazima ireload
2. Ugumu wa kupata apps zinazokidhi mahitaji kutoka itunes.
Nilitaka video downloader. Ilichukua muda sana
3. Flash player kwenye ipad 2 haipo na app zake mpaka ununue. Hivyo nashindwa kustream live events kitu ambacho ni kawaida kwa computer za kawaida
4. Uwezo wake wa kukamata internet ni mdogo sana.
Mimi nimetumia internet humu kwenye ipad ipo slow sana lakini line hiyo hiyo ukitether kutoka device nyingne au ukitumia kwenye device nyingne internet ni nzuri kabisa
5. Utumiaji wa micro chip ni changamoto pia
6. Huwezi kuingiza au kutoa file au kuhamisha kwenye ipad mpaka uwe na computer yenye itunes.
7. Huwezi kudownload file kawaida kwenye mtandao. Siku hizi kuna apps lakini sii nzuri sana
8. Ni ngumu kusoma mafile ya Microsoft. Siku hizi ndio wameweka apps chache appstore lakini sio za uhakika
Na nimemshauri hivyo kutokana na vitu vya kawaida ambavyo watu wengi hutaka kutumia
Halafu nashangaa kwa nini unaniambia sijui ninachotaka, wewe unajua ipad hii nimeipata wapi?
Kuwa na heshima unavyojibu comment za watu.
Siku njema
pengine walijua ww ni mkulima wa pale shinyanga hujui kitu chochote mkuu
Mkuu ulishapataga iPad Air???Wakuu naitaji ipad air I we inachukua line kama unayo nichek kwa no. 0769 038 065