Kiswahili kigumu ila nitajitahidi, sono ni sauti so ni matumizi ya sauti hasa sauti iliyo na frequency juu ya uwezo wa binadamu kusikia (ultrasound) ili kuweza kuona viungo vya ndani ya binadamu, professional wake anaitwa Sonographer. Japo wengi mtaani tunaita ultrasound au wengine wanaita picha.Nini maana ya sonography?
NB. Tumia kiswahili
Wanasayansi wananiumiza kichwa kweli wanapovumbua haya mamboMwenye shida au kutaka uelewa kidogo kuhusu hii professional karibuni kwa maswali
View attachment 1651340
Hakuna limitation ya kutumia sauti katika uchunguzi, na hakuna ushahidi wa madhara ya sauti katika mwili sababu sauti hubeba energy kidogo si rahisi kufanya uharibifu na kubadili mienendo ya seli kama mionzi mingine inavyofanya, mfano kuna wanyama wengi wanatumia sauti ku navigate mfano popoHiyo mashine ina madhara yoyote ukitumia mara kwa mara?
Hapana si rahisi kutumia sauti kwenye uchunguzi wa meno, sauti haipenyi kirahisi kwenye tissue za meno hivyo hutopata matokeo mazuri kama ukitumia x-raysNaweza kufanya sonography ya meno? Nataka kujua mizizi ya meno yangu iko umbali gani sitaki kupiga xray.
ni magonjwa ya aina gani yanatakiwa kufanya hiki kipimo? ukiacha wamama wajawazito?Hapana si rahisi kutumia sauti kwenye uchunguzi wa meno, sauti haipenyi kirahisi kwenye tissue za meno hivyo hutopata matokeo mazuri kama ukitumia x-rays
Tunaitumia katika hatua za awali kujua ujazo au ukubwa wa tezi dume pia baadhi ya dalili za kansa kwenye tezi dume pia inatumika kuonesha njia wakati wa kuchukua sample ya kinyama ili kwenda pima hiyo tezi dumeMkubwa hiyo teknolojia ina matokeo kiasi gani kwenye kupima tezidume
Kuna vipimo vingi waweza pia baadhi ambavyo ni common ni vifuatavyoni magonjwa ya aina gani yanatakiwa kufanya hiki kipimo? ukiacha wamama wajawazito?
Jibu ni hapana, usije danganywa vipimo ambavyo unaweza pima vidonda vya tumbo kwanza Dr anaweza kukusikiliza na kukuuliza baadhi ya maswali akakuhisia una vidonda vya tumbo pili kuna aina ya x-ray inaitwa Barrium meal swallow x-ray. Cha tatu ambacho ni uhakika kinaitwa OGD kwa kifupi, hichi uhakika wake ni 100%Upo vizuri Mtaalamu!
Swali; Ultrasound inaweza kuonyesha vidonda vya tumbo?
Jibu ni hapana, usije danganywa vipimo ambavyo unaweza pima vidonda vya tumbo kwanza Dr anaweza kukusikiliza na kukuuliza baadhi ya maswali akakuhisia una vidonda vya tumbo pili kuna aina ya x-ray inaitwa Barrium meal swallow x-ray. Cha tatu ambacho ni uhakika kinaitwa OGD kwa kifupi, hichi uhakika wake ni 100%
AhsanteeJibu ni hapana, usije danganywa vipimo ambavyo unaweza pima vidonda vya tumbo kwanza Dr anaweza kukusikiliza na kukuuliza baadhi ya maswali akakuhisia una vidonda vya tumbo pili kuna aina ya x-ray inaitwa Barrium meal swallow x-ray. Cha tatu ambacho ni uhakika kinaitwa OGD kwa kifupi, hichi uhakika wake ni 100%