Bora hata ungeanzisha thread ya namna bora ya kupanda maua majumbani kwetu kuipendezesha nyumba
Bora hata ungeanzisha mada ya kuhimiza wana Jf umuhimu wa kupanda miti..
Bora hata ungeanzisha thread ya namna gani ya kujikwamua na tatizo la uhaba wa maji vijijini..
Bora hata ungeanzisha thread ya namna gani serikali inaweza kuinua uchumi wa taifa na wa mtu mmoja mmoja
Kuliko kuijadili ccm wezi wakubwa....