Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Kun ukweli Fulani,hat Makao.Makuu Sikonge Pamelala, ni Kijiji kilichochangamka!.. ila kufunguka Kwa Barabara ya Lami Tabora hadi Katavi ,kumeanza kuamsha watu...inshallah,Wasukuma wanahamia.kwa Kasi ya ajabu ...wasipothibitiwa misitu itatoweka miaka 20.ijayo!
 
Sijui Tabora Ina , Nini .. kihistiria Ndio kulifanyika mikutano ya TANU, Shule kongwe zipo Tabora,
Pale ilitakiwa uwe ni mji mkubwa wa Biashara...ila Pamelala...ingawaje pameanza kuamka ...rejea TORONTO ya Mwanry?
Sikonge ni hivohivo..!
Ile dhana kuwa Waarabu wakikaa Eneo fulani hufifisha Maendeleo unaweza kuithibitisha Sikonge!
 
Siyo kweli
 
Siyo kweli kwamba Koboko anaweza kumgonga mtu aliye ndani gari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…