Inakuwaje mwanamke wa kipemba anaolewa muuda si mrefu anachika kwa talaka, kasha anapata mchumba mpya na kumwambia yeye ni bikra, je ndoa iliyotangulia ndoa iliendeshwaje?
Ww sasa una chuki na wapemba
Inakuwaje mwanamke wa kipemba anaolewa muuda si mrefu anachika kwa talaka, kasha anapata mchumba mpya na kumwambia yeye ni bikra, je ndoa iliyotangulia ndoa iliendeshwaje?
Lol:what:😡Hawana pumzi ya kujitenga hata wangependa. Hawana uwezo hata wwa kuchagua rais wao. Rais wao anateuliwa ugogoni wao ni kupiga makofi na kukenua meno. Pemba ni tarafa ndani ya mkoa wa Zanzibar
Mkuu Chanjamjawiri kijiji bado kipo?ASSALAMU
ALAYQUM, YAAMANITTABAAL-ULLAA, Kwa yeyote mwenye suwali kuhusu kisiwa
chenye marash ya karafuu (PEMBA) na wapemba, naomba aniuleze, nitamjibu
kadri ya uwezo wangu. najua kuna mengi yanasemwa kuhusu Wapemb na kisiwa
chao ki2kufu mengine ni mazuri mengine mabaya kwa uhakika naombeni
muniulize kupitia uzi huu. kuna misemo mingi ya kejeli wanayoambiwa
wapemba kwa mfano " Mpemba ku2 la ng'ombe" "mpemba haoneshwi paja"
Pemba perema ukenda na joho utarudi na kilema, ili mradi ni kashfa kebeh
zidi ya wapemb na kisiwa chao. Eb yeyote aliekushafika Pemba na atwambie zile sifa mbaya zinazo pakazwa kuhusu wapemba ni kweli?Mimi ni mpemba fyoko makaburi ya babu zangu na bibi zangu yote yapo pemba, kwanza najiringia UISLAMU WANGU, pili NAJIRINGIA UPEMBA WANGU.
Jifunze kuandika kwa ufasaha ili iwe rahisi kueleweka. Mpangilio wa maswali niliyokuuliza ni mzuri lakini wewe umejibu katika mpangilio mbaya usioeleweka. .
Inakuwaje mwanamke wa kipemba anaolewa muuda si mrefu anachika kwa talaka, kasha anapata mchumba mpya na kumwambia yeye ni bikra, je ndoa iliyotangulia ndoa iliendeshwaje?
Mimi nilishakaa Pemba, tena Chake.Inakuwaje mwanamke wa kipemba anaolewa muuda si mrefu anachika kwa talaka, kasha anapata mchumba mpya na kumwambia yeye ni bikra, je ndoa iliyotangulia ndoa iliendeshwaje?
Nitajie mpemba mmoja ambae ni mdobwedo.
Kwenye suala la umqskini nadhni bado hajakuwa mkweli ingawa kuna kaukweli flaniUmejibu vyema mkuu nipo Tibirinzi lakini majibu yako yamenisisimua sana,
Umejibu haki tupu.
Jamaa hata kuandika hawezi na hakuna alichojibu cha maana. Uzi huu uondolewe tu. Hata maneno hayaeleweki.
Tunataka sana mungano lakin tunataka mungano wa haki mkubwa kumuhishi
mdogo kwa udogo wake na mdogo kumuheshimu mkubwa kwa ukubwa wake,
likishafanyika hili ata mungano wa robo serekali cc tunautaka , c o
mungano hu wa kishenz shenz wizara ya micho c wizara ya mungan lakin ZFA
ipo chin ya TFF hivo ZFA inakosa meno ata yakuwahukumu wachezaji wake
wanapokosea kumbuka sakata la akina Kanavaro walipogawana pesa kienyeji
enyeji kwenye chalenj Z.F.A wakawafungia lakin wakambiwa km hawana haki ya kuwafungia, lakin hili wameshalisahau CCM kwa ajili ya nja zao akina muakilish wa Raha leo jazira aliejitukana mwenyewe kweny BLK.kwa mungan hu watanganyika hamna nia njema na wazanzibar ndio tukaona bora tu uvunjike kila m2 afe na chake.
duuu, hii kali kweli kweli. mnajitia niulize, niulize sasa maswali ndo hayoooo!!!!! unang'a ng'aa sharubu la nini? kila mtu sasa niulize niulize na mimi muda si mrefu nitasema niulize swali lolote kuhusu Toronto Canada!!!! tunasubir majibu mkuu hili tuulize mengine