Niulize chochote kuhusu Civil Engineering na utajibiwa

Niulize chochote kuhusu Civil Engineering na utajibiwa

Kwa wale wanaoenda chuo hivi karibuni,hii ndo nafasi yako ya kuuliza chochote kuhusu civil engineering

Karibu
Mkuu VP MTU akisomea municipal and industrial engineering ya pale Ardhi ataweza kuwa contractor..... Coz naskia wanapiga karibia kila kitu sawa na civil kama structure analysis and design, maswala ya foundation design, kichora, soil, survey, maswala ya water transportation Eng, sewage system design, n.k..... Ila wao wanatofautiana kwa masomo ya industrial na barabara, nikimaanisha civil wanapiga ishu za barabara Ila municipal and industrial engineering wanapiga ishu za majengo na viwanda.....

Je ataweza kuwa contractor wa majengo huyu MTU?
 
Mkuu VP MTU akisomea municipal and industrial engineering ya pale Ardhi ataweza kuwa contractor..... Coz naskia wanapiga karibia kila kitu sawa na civil kama structure analysis and design, maswala ya foundation design, kichora, soil, survey, maswala ya water transportation Eng, sewage system design, n.k..... Ila wao wanatofautiana kwa masomo ya industrial na barabara, nikimaanisha civil wanapiga ishu za barabara Ila municipal and industrial engineering wanapiga ishu za majengo na viwanda.....

Je ataweza kuwa contractor wa majengo huyu MTU?
civil engineering ni pana ndugu yangu wala sio wanasoma barabara ata majengo civil inausika ukisema iyo course ya ardhi ni moja ya civil engineering kwani water sanitary eng transportation eng bulding zote ni civil kwa iyo ishu yako kama anafundishwa maswala ya manispal iyo ni sanitary kwa uelewa wng kuhus structure angalia analysis ya structure wanazofanya au michoro uendana na iyo kozi yao ila kuna
 
civil engineering ni pana ndugu yangu wala sio wanasoma barabara ata majengo civil inausika ukisema iyo course ya ardhi ni moja ya civil engineering kwani water sanitary eng transportation eng bulding zote ni civil kwa iyo ishu yako kama anafundishwa maswala ya manispal iyo ni sanitary kwa uelewa wng kuhus structure angalia analysis ya structure wanazofanya au michoro uendana na iyo kozi yao ila kuna
Mkuu sijakuelewa malizia maelezo.... Sorry lakini
 
Mkuu VP MTU akisomea municipal and industrial engineering ya pale Ardhi ataweza kuwa contractor..... Coz naskia wanapiga karibia kila kitu sawa na civil kama structure analysis and design, maswala ya foundation design, kichora, soil, survey, maswala ya water transportation Eng, sewage system design, n.k..... Ila wao wanatofautiana kwa masomo ya industrial na barabara, nikimaanisha civil wanapiga ishu za barabara Ila municipal and industrial engineering wanapiga ishu za majengo na viwanda.....

Je ataweza kuwa contractor wa majengo huyu MTU?
Mkuu lazima utofautishe kitu kimoja, kuna engineer na kuna contractor!! kila mtu anaweza kuwa contractor kama tu ana mtaji yaani mashine kama bulldozer etc ila si kila mtu anaweza kuwa injinia. Unakuwa injinia baada kupata mafunzo chuoni kwa miaka 3, 4 au 5 inategemea na nchi uliyopo!!

Kwa swali lako, YES UNAWEZA KUWA CONTRACTOR
 
civil engineering ni pana ndugu yangu wala sio wanasoma barabara ata majengo civil inausika ukisema iyo course ya ardhi ni moja ya civil engineering kwani water sanitary eng transportation eng bulding zote ni civil kwa iyo ishu yako kama anafundishwa maswala ya manispal iyo ni sanitary kwa uelewa wng kuhus structure angalia analysis ya structure wanazofanya au michoro uendana na iyo kozi yao ila kuna
Tulia uandike vizuri ili ueleweke!! kwa mtindo huu ukiwa injinia utatuangushia jengo!
 
Mkuu lazima utofautishe kitu kimoja, kuna engineer na kuna contractor!! kila mtu anaweza kuwa contractor kama tu ana mtaji yaani mashine kama bulldozer etc ila si kila mtu anaweza kuwa injinia. Unakuwa injinia baada kupata mafunzo chuoni kwa miaka 3, 4 au 5 inategemea na nchi uliyopo!!

Kwa swali lako, YES UNAWEZA KUWA CONTRACTOR
Na nn kazi ya consultant.....? Usanifu majengo!
 
Hapo Ndiyo Panaponiudhi Mimi!
"Eti Contractor Anatumia Pesa Yake Kwanza, baadae Ndiyo Analupwa""!!
Je, ikitokea Client Kufariki Huku Mjengo Haujakamilika, Na Wakati Huohuo Client Anadaiwa na Benki, Katika Mkataba Wake Na Benki, Basi Benki ikaamua Kupiga Mnada Mjengo! Je, Wewe Contractor utaipata Wapi Hela Yako???
Sasa utakipwaje ujafanya kazi je na wewe ukipewa pesa ukakimbia inakuaje
 
Tulia uandike vizuri ili ueleweke!! kwa mtindo huu ukiwa injinia utatuangushia jengo!
nilikuwa na maana civil eng ni pana inahusisha field mbalimbali ila zote ni civil mfano sanitary engineering,transportation eng ,bulding, water na nyingine iyo kozi tajwa hapo juu kwa uelewa wng inahusu sana mambo ya sanitary eng kuhusu iyo municipal na udili sana na waste water na waste water disposal na treatment iyo unayoona wanafanya structure analysis, kuchora,design zinausiana na structure zinazoendana na iyo kozi mfano treatment plant na nyingine kuhusu kuwa bulding contractor kiasi fulani anaweza ila kwa fikra zangu sio sana kama aliyebase na bulding structure na construction uelewa wng ndio huo
 
Na nn kazi ya consultant.....? Usanifu majengo!
Nianze na consultant!!

Katika ujenzi kuna watu watatu, yaani consultant, contractor na (clientemployer/initiator)!!

Nimeshakuelezea kuhusu contractor,

Tunaposema consultant kwa lugha rahisi tunamaanisha engineer!!! huyu anakua na jukumu la ku design structure na kuandaa michoro (engineering drawings) kulinga na mahitaji ya mteja yaani client au employer!!! injinia pia anaanda Bill of quantity (BOQ) kwaajili ya gharama elekezi za mradi au kujenga!!! BOQ inatumika kama mwongozo wa kumpata contractor kama client ataamua kumu-engage contractor!

Baada ya kumpata contractor au mjenzi injinia anakua na jukumu la kukagua kazi, kukagua material yanayoletwa site na zaidi ya yote injinia ndiye anaye andaa bill ya malipo ya contractor, na contractor analipwa tu baada ya injinia kuridhika na kazi iliyofanywa otherwise hamna malipo yatayofanywa!!! kikawaida injinia ni adui namba moja wa contractor (its a joke though)!! na injinia akilegea basi jua contractor kama sio mwaminifu basi lazima achakachue hasa kwenye nondo na cement (ratios)!

Ufahamu pia, client anamchagua injinia, then injinia anashiriki katika kumpata client ikiwa ni pamoja na kuandaa tender!!!

Tukija kwa msanifu majengo...

Huyu anajulikana kama architect! huyu kazi yake ni kuandaa michoro ya majengo, muonekano wa majengo, alignment za jengo and the alike!!! tofauti ya huyu na injinia ni kwamba injinia anafanya "engineering design na structural analysis"!! mfano ku specify nondo ya millimiter ngapi ikae wapi, ku design columns, beams, foundation na slabs!!! architects kikawaida hawafanyi haya!!!

Sasa baada ya msanifu majengo kuandaa michoro, michoro yake inapelekwa kwa injinia ambapo injinia ataichukua na kufanya engineering design kama nilivyo elezea hapo juu!!

Katika industry ya ujenzi msanifu majengo ndiye anachukua pay kubwa tofauti na injinia anayechukua 8-14% ya gharama za mradi!!! na architect pia anafanya inspections katika site kuhakikisha mambo yanaenda kama alivyo design!!!

Hawa wote wanafanya kazi kwa ukaribu, na kama mmoja akiwa lelemama basi ndio unatasikia jengo limeanguka!!!

Naimani mkifika chuoni hasa mwaka wa 3 au 4 mtafundishwa zaidi wala usihofu!

Karibu kama utakua na swali

Cc mjuniour
 
nilikuwa na maana civil eng ni pana inahusisha field mbalimbali ila zote ni civil mfano sanitary engineering,transportation eng ,bulding, water na nyingine iyo kozi tajwa hapo juu kwa uelewa wng inahusu sana mambo ya sanitary eng kuhusu iyo municipal na udili sana na waste water na waste water disposal na treatment iyo unayoona wanafanya structure analysis, kuchora,design zinausiana na structure zinazoendana na iyo kozi mfano treatment plant na nyingine kuhusu kuwa bulding contractor kiasi fulani anaweza ila kwa fikra zangu sio sana kama aliyebase na bulding structure na construction uelewa wng ndio huo
sasa nimekwelewa!! ila kuna kitu na wewe unachanganya, kuna tofauti kati ya injinia na contractor!!! kila mtu hata aliyesoma hkl au ambaye hajawahi kusoma anaweza kuwa contractor ila kuwa injinia ni lazima usome na usajiliwe na bodi husika!!! kwa maelezo hayo hata Kizzy Wizzy anaweza kuwa contractor as long as ana capital, ila inaweza kuwa ngumu kufanya kazi za civil kama hana huo ujuzi kulingana na ethics za uhandisi!!
 
sasa nimekwelewa!! ila kuna kitu na wewe unachanganya, kuna tofauti kati ya injinia na contractor!!! kila mtu hata aliyesoma hkl au ambaye hajawahi kusoma anaweza kuwa contractor ila kuwa injinia ni lazima usome na usajiliwe na bodi husika!!! kwa maelezo hayo hata Kizzy Wizzy anaweza kuwa contractor as long as ana capital, ila inaweza kuwa ngumu kufanya kazi za civil kama hana huo ujuzi kulingana na ethics za uhandisi!!
ok nimekuelewa kuwa contractor anaweza kuwa ila kuwa engineer wa ujenzi wa project usika ndio itakuwa na kazi kidogo kutokana na structure inayojengwa mfano bulding kama yeye kasoma iyo municipal and industry ndio maana vyuo vyingi wana specialize mwaka wa mwisho kwa field mbali mbali zinazo usu civil ndio maana tunaona kuna engineer wa bara bara wa majengo wa maji na kadharika
 
Nianze na consultant!!

Katika ujenzi kuna watu watatu, yaani consultant, contractor na (clientemployer/initiator)!!

Nimeshakuelezea kuhusu contractor,

Tunaposema consultant kwa lugha rahisi tunamaanisha engineer!!! huyu anakua na jukumu la ku design structure na kuandaa michoro (engineering drawings) kulinga na mahitaji ya mteja yaani client au employer!!! injinia pia anaanda Bill of quantity (BOQ) kwaajili ya gharama elekezi za mradi au kujenga!!! BOQ inatumika kama mwongozo wa kumpata contractor kama client ataamua kumu-engage contractor!

Baada ya kumpata contractor au mjenzi injinia anakua na jukumu la kukagua kazi, kukagua material yanayoletwa site na zaidi ya yote injinia ndiye anaye andaa bill ya malipo ya contractor, na contractor analipwa tu baada ya injinia kuridhika na kazi iliyofanywa otherwise hamna malipo yatayofanywa!!! kikawaida injinia ni adui namba moja wa contractor (its a joke though)!! na injinia akilegea basi jua contractor kama sio mwaminifu basi lazima achakachue hasa kwenye nondo na cement (ratios)!

Ufahamu pia, client anamchagua injinia, then injinia anashiriki katika kumpata client ikiwa ni pamoja na kuandaa tender!!!

Tukija kwa msanifu majengo...

Huyu anajulikana kama architect! huyu kazi yake ni kuandaa michoro ya majengo, muonekano wa majengo, alignment za jengo and the alike!!! tofauti ya huyu na injinia ni kwamba injinia anafanya "engineering design na structural analysis"!! mfano ku specify nondo ya millimiter ngapi ikae wapi, ku design columns, beams, foundation na slabs!!! architects kikawaida hawafanyi haya!!!

Sasa baada ya msanifu majengo kuandaa michoro, michoro yake inapelekwa kwa injinia ambapo injinia ataichukua na kufanya engineering design kama nilivyo elezea hapo juu!!

Katika industry ya ujenzi msanifu majengo ndiye anachukua pay kubwa tofauti na injinia anayechukua 8-14% ya gharama za mradi!!! na architect pia anafanya inspections katika site kuhakikisha mambo yanaenda kama alivyo design!!!

Hawa wote wanafanya kazi kwa ukaribu, na kama mmoja akiwa lelemama basi ndio unatasikia jengo limeanguka!!!

Naimani mkifika chuoni hasa mwaka wa 3 au 4 mtafundishwa zaidi wala usihofu!

Karibu kama utakua na swali

Cc mjuniour
Asante sana mkuu,

Nina ndoto za kuwa Contractor mkubwa Africa

Ni vitu gani vya kuzingatia ili niweze kuwa na kampuni LA ujenzi Wa majengo na barabara LA kuaminika......?tumeshuhudia kampuni nyingi zikifa.....
 
Back
Top Bottom