Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
Wandugu,naomba tubadilishane uzoefu hapa, nitawezaje kuzuia pirates wasiibe kitabu changu ambacho nimekiandika na ninatarajia kukisambaza hapahapa tz? je? wanaoiba ni publishing company au mtu yeyote? nifanye nini ili kupunguza kuibiwa my work of art au nisiibiwe kabisa. COSOTA wanasaidia ktk hili? mwenye uzoefu tafadhali naomba tushee hapa. ni kitabu kizuri sana cha sheria kwenye tafsiri rahisi ya kiswahili. asanteni.