Hii maana ake lazima uwe unatumia TTCL broadband sasa ule waya wa ethernet unaiweka port moja afu port nyingine zina distributeJamani Nina Wireless Route D Link N150 but haina internal modem na haina port ya kuweka modem ya kawaida. ila ina ethernet port tuu, naomba kujua kama naweza kutumia modem ya kawaida kwa kutumia ethernet? na ni aina gani ya ethernet?
Jamani Nina Wireless Route D Link N150 but haina internal modem na haina port ya kuweka modem ya kawaida. ila ina ethernet port tuu, naomba kujua kama naweza kutumia modem ya kawaida kwa kutumia ethernet? na ni aina gani ya ethernet?
Njia ambayo unaweza kutumia hiyo router na modem, lazima uwe na pc ambayo itakuwa kama server utatumia ethernet cable kutoka kwenye LAN port ya pc kwenda kwenye router alafu modem uta-install kawaida then tumia connectify ku-share internet access ya modem over LAN hapa itafanya kazi, hii njia nimeshaijaribu na ipo njema.
View attachment 193348
kwahiyo brother h120 naitaji vitu gani hapo? maana nina ethernet 1 ambayo niliikuta kwenye router, nisaidie brother sina ujuz kabisa