Nitawezaje ku-install whatsapp kwenye Samsung wave 3

Nitawezaje ku-install whatsapp kwenye Samsung wave 3

Mr Kicheko

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
789
Reaction score
216
Habari za mwaka mpya wanabodi ?

Hapo juzi kati mdogo wangu kanikabidhi simu ya samsung wave 3 s8600 ambayo inatumia Bada OS, Nimejaribu kila namna kuinstall whatsapp na apps zinginezo kama instagram etc lakini nimeambulia patupu.

nimejaribu hadi whatsapp ja java(jar/jad file) but inagoma kuvertify namba ya simu Kama kuna mdau anajua jinsi ya kusolve hili naomba anirescue.

CC Chief-Mkwawa C6 njunwa wamavoko raekin Paje Shaffin Simbamwene leh Mwl.RCT na wadau wengineo
 
hii Bada OS ndo kwanza naisikia I see

spec.jpg
bada os.jpg

View attachment 215040
 
@Mr Kicheko

sijawahi kutumia hii, ila based on tutorials nilizozipata google jaribu hivi

download haya mafaili kisha fuata maelekezo hapo chini

  1. First one is a .jar file and
  2. The second one is .exe file for whatsapp for bada.

  • Once you have both the files in your PC or computer Connect your mobile to your PC via an USB.

  • Then Move/Copy these Files to your BADA OS Mobile and Unplug the USB.

  • Restart your Mobile and then Install the two Files that were copied to your mobile earlier
  • That's it you are Done !! Now you can use Whatsapp for Samsung Bada Mobiles for free.
 
@C6
Mkuu kabla ya kuja huku nilianza na google so hiyo trick ya hapo juu ilifeli ndo maana nikasema jar file nazo nilitry ila bila bila.
najua humu kuna vichwa so naendelea kusubiria maana kasimu kapo portable na kana speed ya 14.4 yaani voda napata hadi 1.2MBps
 
Mkuu kabla ya kuja huku nilianza na google so hiyo trick ya hapo juu ilifeli ndo maana nikasema jar file nazo nilitry ila bila bila.
najua humu kuna vichwa so naendelea kusubiria maana kasimu kapo portable na kana speed ya 14.4 yaani voda napata hadi 1.2MBps

imefeli step gani?
 
kuvertify namba ya simu maana haitumi code wala kupiga simu

omba code na simu yako then usitoke whatsapp, code hazitakuja ila utaekewa box la kueka code

chukua simu ya android/java/ios/wp then omba code na namba hio hio kwenye whatsapp inayokubali halafu code zikija weka kwenye wave
 
omba code na simu yako then usitoke whatsapp, code hazitakuja ila utaekewa box la kueka code
a
chukua simu ya android/java/ios/wp then omba code na namba hio hio kwenye whatsapp inayokubali halafu code zikija weka kwenye wave
Nimefanya kama ulivyoelekeza mkuu but inaaemq wrong code ila code hizo hizo ukiziingiza kwenye android zinakubali
 
Back
Top Bottom