Nitawezaje ku-copy picha kutoka Instagram?

Nitawezaje ku-copy picha kutoka Instagram?

Humble African

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
4,781
Reaction score
14,439
Habari!

Kichwa cha habari hapo juu chajieleza, kuna picha moja ina ujumbe murua saana nataka kuicopy niwenayo ila sijaweza icopy. Msaada nawezaje kuicopy?

Ur welcome folks!
 
Can u explain a lil bit more maana hapa terminology zoote hizi zimekuwa mpya.. sont worry I'll wait bro!

Nenda google tafuta how to Screen shot on ( andika jina na model ya simu yako) itakuonyesha how to do it. Ikimaanisha kuipiga picha screen ya simu yako kwa page ambayo uliopo.

Then nenda kuiedit hiyo picha kun option ya crop ikimaanisha kuikata picha na kubaki na sehemu unayotaka ionekane tu.
KARIBU MKUU
 
Nenda google tafuta how to Screen shot on ( andika jina na model ya simu yako) itakuonyesha how to do it. Ikimaanisha kuipiga picha screen ya simu yako kwa page ambayo uliopo.

Then nenda kuiedit hiyo picha kun option ya crop ikimaanisha kuikata picha na kubaki na sehemu unayotaka ionekane tu.
KARIBU MKUU

Nimeipenda huduma yako mkuu hii. Murua saana!.
 
Download instake unainyofoa haraka tu mkuu
 
download na uisave kwa simu yako au share it with your account
 
Hii App inakuhusu...
 

Attachments

  • 1411935561517.jpg
    1411935561517.jpg
    4.7 KB · Views: 359
Kama unatumia windows phone.. Kuna app inaitwa instagram downloder App. Ipo store. Kama unatumia android.. Tafta apk ya instasave
 
Fanya screenshot then crop kuondoa jina la ac ya inst

Nadhani technique ya Marengo90 itakuwa nzuri zaidi maana kama hauna mpango wa ku install more apps kwenye simu yako screenshot is the best option.

On iPhone: Press Power Button and Home button at the same time for and release, the picture catured should be saved at the Gallery
On Android: Press Power button + volume down then release
On Windows Mobile: Power button + Volume up then release.

Baada ya hapo kazi inabaki ku crop tu na kuirusha. Hope itakusaidia
 
Last edited by a moderator:
screenshot na kucrop inapunguza ubora wa picha hasa kama unataka kuitumia tena baada ya kuisave
 
Back
Top Bottom