miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
we ujue ukweli unatumia nguvu nyingi sana ila uongo ni fasta kitu kinalinika ... tumia ukweli wakati kuna jamaa anasaundisha uongo mwanzo mwisho tuone kama atampta huyo dadaAcha mambo yako mtu wa kuja kuishi nae hamna haja ya kumuongopea lazima umwonyeshe maisha yako halisi
Sent from my iPhone using JamiiForums