Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,545
- 63,023
Umepona kwanza?Abeeee
Umepona kwanza?Abeeee
Miss you moreI miss you lovie
SijaponaUmepona kwanza?
Thanks
Much love!
Nilijua tuu mama, though hukuniambia asubuhiSijapona
Nimeshinda kitandani leo
Sikutaka uwe na wasi wasi kabisaa..Nilijua tuu mama, though hukuniambia asubuhi
Hali zenu wapendwa .
Nianze bismillah....
Nilijiunga jf miez michache tu iliyopita,nashkuru nimejifunza mengi kupitia jf,pia wapo waliojifunza kutoka kwangu japo ni machache.
nilijiunga kutokana na kutoa mawazo tu kwa mda(temporarly),nlitaka kujitoa mda kdg lkn nkavuta subra,lkn nahis sasa wakati umewadia wa kujitoa jf.
Hakika nitawamiss nyote,nitawakumbuka ,kama yupo ambaye nilimkosea ningeomba anisamehe,kwa alienikosea nilishasamehe mda.
Mwenye neno la mwisho la kuongea ndani ya sikumbili hizi aseme,niliemkosea aje aseme ntamuomba msamaha pia hapahapa,nataka niiache jf kwa roho safi kabisa,staki niondoke hali ya kua mtu kaniwekea dukuduku.
Ntabaki jf mwisho ijumaa usk(kesho),baada ya hapo sitopatikana tena jf.
Nawapenda nyote na nitawakumbuka nyote.
APDATE:Asalam alaykm kwa Mara ingn tena
___________________________________________________________________
----------------------------------
NAJITOA JF.
HATERS KEEP GOING ,,,ALL THE BEST.
THANK U ALL.
Hhhaaa eti kesi za bei rahisHahaha, mi Bi Zuhra antosha, ustake nipate tabu buree.
Staki kesi za bei rahisi.
Ndo maana yake, ukiingia kwenye matatizo basi hata ukihadithia watu waone imetokea bahati mbaya ambayo ingeweza kumtokea mtu yeyote tu.Hhhaaa eti kesi za bei rahis
Huyu queen anakuchukia anakujuaa?Ndo maana yake, ukiingia kwenye matatizo basi hata ukihadithia watu waone imetokea bahati mbaya ambayo ingeweza kumtokea mtu yeyote tu.
Sio unafuata Mdundiko mpaka unapotea njia unaingia machakani unavutwa na chatu, halafu ukianza kulalamika watu wanakuona mwehu.
Yani JF unaweza kukaa ukaanza kucheka mwenyewe.
Hanichukii huyo ana mapenzi kama yale ya Wakurya, mtu akikupenda anakupiga, sasa na yeye ananipenda halafu ananikashifu, ndiyo furaha yake. Nimemwambia akapimwe "bipolar disorder". Siku nyingine ananichangamkia, siku nyingine haishi kunitukana.Huyu queen anakuchukia anakujuaa?
Hhhhaaaaa mapenzi ya kikurya ni balaa halaf siyatakii, haya nimeona anafunguka kweli anatoa ya moyoniHanichukii huyo ana mapenzi kama yale ya Wakurya, mtu akikupenda anakupiga, sasa na yeye ananipenda halafu ananikashifu, ndiyo furaha yake. Nimemwambia akapimwe "bipolar disorder". Siku nyingine ananichangamkia, siku nyingine haishi kunitukana.
Lakini mimi nishamwambia nina wangu tayari, na mke wangu yuko hapahapa, ameniruhusu kucheza muziki wa kwetu anamuangalia tu.
Haya mama, nimesikia.Hhhhaaaaa mapenzi ya kikurya ni balaa halaf siyatakii, haya nimeona anafunguka kweli anatoa ya moyoni
Hizo ngoma unazocheza zinaangaliwa na zimeruhusiwa ila zisizidi mpaka .wivu unataka zidia
Ramadhan kareem...Haya mama, nimesikia.
Asante BAKUnaumwa nini? Pole sana Sakayo.
Ramadhan kareemRamadhan kareem...