Nitawamiss nyote

Hali zenu wapendwa .
Nianze bismillah....
Nilijiunga jf miez michache tu iliyopita,nashkuru nimejifunza mengi kupitia jf,pia wapo waliojifunza kutoka kwangu japo ni machache.

nilijiunga kutokana na kutoa mawazo tu kwa mda(temporarly),nlitaka kujitoa mda kdg lkn nkavuta subra,lkn nahis sasa wakati umewadia wa kujitoa jf.

Hakika nitawamiss nyote,nitawakumbuka ,kama yupo ambaye nilimkosea ningeomba anisamehe,kwa alienikosea nilishasamehe mda.

Mwenye neno la mwisho la kuongea ndani ya sikumbili hizi aseme,niliemkosea aje aseme ntamuomba msamaha pia hapahapa,nataka niiache jf kwa roho safi kabisa,staki niondoke hali ya kua mtu kaniwekea dukuduku.

Ntabaki jf mwisho ijumaa usk(kesho),baada ya hapo sitopatikana tena jf.

Nawapenda nyote na nitawakumbuka nyote.



APDATE:Asalam alaykm kwa Mara ingn tena
___________________________________________________________________
----------------------------------
NAJITOA JF.
HATERS KEEP GOING ,,,ALL THE BEST.

THANK U ALL.
a97263ad05d0d4a47b2494092e2b0108.jpg
 
Hhhaaa eti kesi za bei rahis
Ndo maana yake, ukiingia kwenye matatizo basi hata ukihadithia watu waone imetokea bahati mbaya ambayo ingeweza kumtokea mtu yeyote tu.

Sio unafuata Mdundiko mpaka unapotea njia unaingia machakani unavutwa na chatu, halafu ukianza kulalamika watu wanakuona mwehu.
 
Ndo maana yake, ukiingia kwenye matatizo basi hata ukihadithia watu waone imetokea bahati mbaya ambayo ingeweza kumtokea mtu yeyote tu.

Sio unafuata Mdundiko mpaka unapotea njia unaingia machakani unavutwa na chatu, halafu ukianza kulalamika watu wanakuona mwehu.
Huyu queen anakuchukia anakujuaa?
 
Huyu queen anakuchukia anakujuaa?
Hanichukii huyo ana mapenzi kama yale ya Wakurya, mtu akikupenda anakupiga, sasa na yeye ananipenda halafu ananikashifu, ndiyo furaha yake. Nimemwambia akapimwe "bipolar disorder". Siku nyingine ananichangamkia, siku nyingine haishi kunitukana.

Lakini mimi nishamwambia nina wangu tayari, na mke wangu yuko hapahapa, ameniruhusu kucheza muziki wa kwetu anamuangalia tu.
 
Hanichukii huyo ana mapenzi kama yale ya Wakurya, mtu akikupenda anakupiga, sasa na yeye ananipenda halafu ananikashifu, ndiyo furaha yake. Nimemwambia akapimwe "bipolar disorder". Siku nyingine ananichangamkia, siku nyingine haishi kunitukana.

Lakini mimi nishamwambia nina wangu tayari, na mke wangu yuko hapahapa, ameniruhusu kucheza muziki wa kwetu anamuangalia tu.
Hhhhaaaaa mapenzi ya kikurya ni balaa halaf siyatakii, haya nimeona anafunguka kweli anatoa ya moyoni
Hizo ngoma unazocheza zinaangaliwa na zimeruhusiwa ila zisizidi mpaka .wivu unataka zidia
 
Back
Top Bottom