Nitauvunja vunja moyo wake soon

huu uzinzi utakugharimu mda si mrefu,kwenye ndoa unayo enda kufunga.
mwambie dad wa watu ukweli usimpotezee muda na umuombe msamaha na ajue kabisa unaenda kufunga ndoa mwezi wa 12 ni kesho kutwa tu we bado unaangaika na wadad wengine uku nje huyo akutosherezi unae enda kumuoa?
ushawahi kujiuliza ingekuwa mwanaume mwingine anafanya hayo na moja kati ya hao wanawake angekuwa dada yako?
 
Mkuu kama unamtu mwingne unampenda na unatarajia kuoa,huyo mwingne mwambie tu ukweli umuache mkuu,ila jua tu kuwa itamuumiza

But mpe tu ukweli nw.
 
Mshika mawili moja humponyoka..ndio tatizo la kupenda wote hao...Focus kwa mmoja kwanza mkuu
 
Nitumie namba ya huyo dada inbox ili nikusaidïe. Maana ntamwambia jamaa uliyenaye ana mke ila anakuzingua tu.

Atakubali tu.
Fanya hivyo tafadhari
 
Una mke mtarajiwa alafu unapata short gun alaf unaipeleka home kwako!unatarajia nin?Bado haujakua mwanaume Wakuiongoza family ijayo!utaipa mateso sana!
 
Yaan wew unawapenda wote,alafu unaomba ushauri wa nn sasa mkuu,kuchepuka ni matokeo ya kuongezeka kwa kipato cha ziada ,naona uko na uwezo oa wote tu
 
Tatizo ulilitengeneza mwenyewe halafu limekuzidi mwenyewe. Peleka kwa Mange Kimambi
 
Peleka taarifa polisi. Akifa, afe bure....

Atapigwa Warning.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…