Nitasimama na SIMBA yangu daima

Wakati naanza kushabikia mpira kulikuwa na timu tatu kubwa
, Simba, yanga na Pan. Pan nayozungumzia ni ile ya kina Pondamali, Tenga, Mtagwa, Adolph Rishard, Peter Tino ambayo nusu ya wachezaji wake walikuwa Taifa stars. Ila nilichagua Simba na siwezi kuondoka. It
 
Kumshindanisha CHAMA na PACIME ni kumjengea presha PACOME bila sababu. Chama ni kama KAMBARAGE aliyeishi Ikulu miaka 23 halafu unamshindanisha na Rais aliyeko madarakani kwa miaka 2. Kushindanishwa na CHAMA inabidi uwe na muendelezo wa mambo mazuri walau misimu 3, sio miezi 6.
 
i am proud of you
 
Kikosi Cha Simba kimeanza Safari ya kuifuata RS Berkane nchini Morocco Kwenye mchezo wa fainali ya kwanza CAFCC🔥🔥🔥
 
Your browser is not able to display this video.
 
"KWA-MKAPA HATOKI MTU - Hii slogan iliyoanzishwa na Simba SC ndiyo hasa inawaumiza kichwa CAF, RS BERKANE na VIBARAKA wao. Wanahofia kombe litabakia Tanzania, kama hali hii ya kiwanja ipo hivi leo, WHY mechi isichezwe ikachezwe Zanzibar?

CAF waliwapa mashabiki wa Simba SC tunzo ya mashabiki bora Afrika wakiwa hata hawajacheza Nusu Fainali, lakini ile turn out yao kila game na namna wanavyohanikiza ushindi ilikuwa balaa, leo timu ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa. CAF ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ya CAF inatafuta ahueni ikacheze Zenji kwenye mashabiki 15,000 wanaogopa mashabiki 60,000/ watashusha gharika.

Nafahamu jitihada kubwa zilizofanywa na zinazoendelea kufanywa na Serikali, TFF na Simba SC juu ya kutumia uwanja wa Mkapa., nafahamu namna msimamizi/mkaguzi wa Viwanja wa CAF wa mwanza (Moustafa) ambaye alikuwa Mmorocco alivyokuwa anataka mechi ikachezwe Zanzbar akiogopa Kwa-Mkapa, nafahamu aliyeletwa pia anatoka Morocco 🇲🇦.

Hapa kuna vita ya Morocco 🇲🇦 Vs Tanzania 🇹🇿, kama una kichwa maji pekee ndio huwezi kujua hii kitu. Ila Morocco mpaka sasa wanasaidiwa na CAF kitu ambacho ni hatari sana."

BİN KAZUMARI MTIPA (The voice of the voiceless)
 
Timu yetu imetua Mji ambao mechi itachezwa tayari kwa Mazoezi ya mwisho hapo kesho kabla ya mechi Jumamosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…