PreGE2025 Nitashangaa kama Wasanii maarufu Watakosa Ubunge kwenye Uchaguzi mkuu 2025, nitashangaa mno!

PreGE2025 Nitashangaa kama Wasanii maarufu Watakosa Ubunge kwenye Uchaguzi mkuu 2025, nitashangaa mno!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,521
Wasanii siyo kama Lucas Mwashambwa anayepiga Miruzi akiwa maporini huko bali Wasanii huwa kwenye misafara yote ya viongozi wakuu wa vyama na serikali

Wasanii wana uzoefu wa kutosha wa Siasa za Tanzania hasa Siasa za CCM na Chadema

Nategemea 80% ya Wabunge watakaochaguliwa October 2025 watatoka kwenye tasnia ya Maigizo, Nyimbo za Injili, nyimbo za Liza I kipya, Kwaya, Ngojma, Sarakasi, kandanda na Walimbwende akina Wema,Jokate na Basila

Nawatakia Wasanii wote wakiongozwa na Sugu moto Chini na Professor Jay kila la kheri uchaguzini

Ahsanteni sana 🇹🇿
 
Wasanii siyo kama Lucas Mwashambwa anayepiga Miruzi akiwa maporini huko bali Wasanii huwa kwenye misafara yote ya viongozi wakuu wa vyama na serikali

Wasanii wana uzoefu wa kutosha wa Siasa za Tanzania hasa Siasa za CCM na Chadema

Nategemea 80% ya Wabunge watakaochaguliwa October 2025 watatoka kwenye tasnia ya Maigizo, Nyimbo za Injili, nyimbo za Liza I kipya, Kwaya, Ngojma, Sarakasi, kandanda na Walimbwende akina Wema,Jokate na Basila

Nawatakia Wasanii wote wakiongozwa na Sugu moto Chini na Professor Jay kila la kheri uchaguzini

Ahsanteni sana 🇹🇿
Huu mwaka ndio mwaka wao maana mwenye ushawishi nanpesa ndio atapita washindwe wao mwenzao baba levo kaanza mapema kabisa kigoma..kimzaa mzaa huyo anaibukia mjengoni..
 
Huu mwaka ndio mwaka wao maana mwenye ushawishi nanpesa ndio atapita washindwe wao mwenzao baba levo kaanza mapema kabisa kigoma..kimzaa mzaa huyo anaibukia mjengoni..
Na wakishindwa kwenda bungeni watakuwa wapumbaf sana 😂😂
 
Walishatoa tuzo ya comedy kwa mteua tume so ataagiza tu nchi nzima iwe sanaa, nothing serious bongo tambarare. Kwanza failure rate ya Maths ni 75% tunahangikia nini wakati usanii unalipa, hatuna habaree 😀
 
Wasanii siyo kama Lucas Mwashambwa anayepiga Miruzi akiwa maporini huko bali Wasanii huwa kwenye misafara yote ya viongozi wakuu wa vyama na serikali

Wasanii wana uzoefu wa kutosha wa Siasa za Tanzania hasa Siasa za CCM na Chadema

Nategemea 80% ya Wabunge watakaochaguliwa October 2025 watatoka kwenye tasnia ya Maigizo, Nyimbo za Injili, nyimbo za Liza I kipya, Kwaya, Ngojma, Sarakasi, kandanda na Walimbwende akina Wema,Jokate na Basila

Nawatakia Wasanii wote wakiongozwa na Sugu moto Chini na Professor Jay kila la kheri uchaguzini

Ahsanteni sana 🇹🇿
Labda Ney wa mitego, siyo hizi takataka nyingine
 
Back
Top Bottom