Nitarudi tena nchini Kenya

Mikoani Kenya ni kuzuri kuliko mikoani Tanzania?..
 
Mikoani Kenya ni kuzuri kuliko mikoani Tanzania?..

Kimandeleo inawezekana maana wanapiga hatua kila kukicha japo huwezi kulinganisha ubora bila vigezo vinavyotambulika
 
Hapa tuone sasa umuhimu wa katibu mpya itakayo tuletea maendeleo si katika swala la uchaguzi tu. WAKA......
 
Hapa tuone sasa umuhimu wa katibu mpya itakayo tuletea maendeleo si katika swala la uchaguzi tu. WAKA......
Tz Bado Sana Mana tuko bize kwa propaganda na usubwada wa kuhamishahamisha mijadala ili kuwapumbaza Wadanganyika...tunahitaji muda Sana kuifikia Kenya socially, economically and politically.

Ny..
 
sirari-nairobi nafika mitaa ya mai mahiu alfajiri naanza kuhaha kutafuta sehemu ya kuswali, nawauliza wenyeji na kiswahili chao kibovu wakaniambia ahaa muskiti!? enda pale juu utapatana nayo.

nafika nakuta bonge la kanisa nikageuza gari, inaonekana kule kwenye ile county uislamu haujafika kabisa mbona nilitandika shuka la kimasai nikaswali sheli.
 
Nakubaliana na wewe! Hiyo barabara FUNDER alikuwa mmoja na CONTRACTOR mmoja. Ila cha ajabu upande wa Kenya barabara ni pana sana na upande wa TZ barabara ni nyembamba. Hii maana yake ni kwamba TZ tulichukua 10%!
 
Congratulations sana Mkuu!
Unaonekana unaijua sana Republic of Kenya, vip kuhusu biashara hasa ya Mahindi.Masoko yake yakoje?
 
Congratulations sana Mkuu!
Unaonekana unaijua sana Republic of Kenya, vip kuhusu biashara hasa ya Mahindi.Masoko yake yakoje?

Una mahindi? Mimi nipo kwenye mchakato wa kusajili kampuni Kenya itakayohusika na biashara ya nafaka kama una dili tutaongea
 
JF nadhani ilipata shambulio kidogo maana nilikuwa naandika naona inagoma
 
Nashukuru sana mkuu,je ofisi za uhamiaji kwa upande wa Tanzania kwa ajili ya kupata kibali cha kuvuka boda zipo wazi mpaka weekend?
 
Sasa huyi demu wa kimataifa umeipotezea story?
 
Nashukuru sana mkuu,je ofisi za uhamiaji kwa upande wa Tanzania kwa ajili ya kupata kibali cha kuvuka boda zipo wazi mpaka weekend?

Kama alivyoeleza mtoa mada, ukitaka kibali kile cha muda inabidi uende wilayani ambayo ipo Tarime, siyo Sirare watakurudisha Tarime.

Utahitaji nyaraka muhimu kama kitambulisho cha NIDA ili upewe hicho kibali.
 
Kenya hata nyumba za kupanga ni za hovyo sana yan chumba ukiweka tu kitanda mlango unafunguka robo kama una kitambi haupiti utalala nje
Nafkiri kwasababu ya uhaba wa ardhi[emoji16]
 
Kenya bhna 😋 mi niko kwa mpaka yao hapa Kilimanjaro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…