Nitarudi tena Colombia

BigBro

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
3,210
9,863
Kwenye Serikali ya Jakaya Kikwete nilitembea sana na nikafika nchi niliyokuwa na hamu nayo sana kufika ili nijionee ukweli wa hali halisi, Colombia.

Nilifika Bogota nilikaa siku 14 baadae nikaenda miji ya Cartagena na Medellin, aisee zile muvi za kihuni za Marekani nilifikiri ni uongo, kumbe ndio maisha halisi ya miji ya Colombia.

Ila kuna wanawake wazuri sana aisee kule Latin America, unakuta mzungu ana matako kama mwafrika acha acha kabisa.

Brazil wahuni ni wengi mno, ukiongea english ni kama unajichongea wanajua unatoka Marekani utaandamwa na kuviziwa kila mahali.

Ila kule Marekani ni kama bwana wao, hawajui chochote zaidi ya Marekani magari yao mengi yanatoka Marekani, unapishana na gari kumi unaona toyota moja.

Nilichokipenda ni starehe, kama unapenda mademu kula unakufa haraka sana, ni wazuri, wazuri, wazuri mno.

Nitarudi tena Bogota
 
Medellin kwa kina Pablo! Sasa utaongea lugha gani na wewe unajua Kiswahili na Kiingereza tu. Ila Sao Paulo nasikia kuna uhalifu sana kama South Africa.

Vipi huko umasikini ni kama huku Bongo!?
Kule Colombia umasikini ni mwingi mno, ndo maana akili yao wote ni kuzamia Marekani. Lakini miji yao imejengeka sana tofauti na huku Bongo. Kaka ukifika Bogota jifanye huuji english ukiongea tu wanazani wewe ni wa Marekani, utaandamwa balaa. Rio de jainero (mto wa Januari) pale sio tu wahuni bali ni wahuni kwelikweli, huku Bongo vijana wanaotembeza bidhaa barabani kwenye magari kule ni wengi mno, ila ukifungua kioo imekula kwako wanakupora chochote na polisi hata hawajali
 
Medellin, huu mji ukifuatilia unaonekana una watemi sana...nimetazama baadhi ya reality shows na documentaries zinaonesha kitaa kuna watu wamepinda...
Sisi tuliambia hapa tumeletwa tu kutalii na hatukala, kaka wenyeji wenyewe wanasema hii ni eneo hatari kuwa mpole, hawana shida na wageni, lakini sio sehemu ya kujiachia. Ila kule nimejifunza sisi wastaarabu mno
 
Dah!👅 vipi life la kitaa ukienda kulowea huko ukajichanganya.

Mambo ya kipato na vipi upendo na ubaguzi vipoje.
Ubaguzi sio kihivyo, lakini kule sio seheu ya kutafuta maisha, labda Brazil maana kuna mishe nyingi na weusi ni wengi sana hivyo unaweza kujichanganya, lakini lazima ujifunze kireno lugha yao itakusaidia zaidi
 
Back
Top Bottom