Nitapataje kazi za viwandani Morogoro?

Nitapataje kazi za viwandani Morogoro?

ramsojuma

Member
Joined
Oct 2, 2021
Posts
7
Reaction score
0
Habari ndugu zangu,

Naomba mnisaidie kwa mkazi wa morogoro kupata tips za nafasi ya kazi katika viwandani,kwa aiyeoko morogoro na anajua nafasi zinapatikani anijuze
 
Habari ndugu zangu,

Naomba mnisaidie kwa mkazi wa morogoro kupata tips za nafasi ya kazi katika viwandani,kwa aiyeoko morogoro na anajua nafasi zinapatikani anijuze
Zamani ilikuwa simple, siku hizi Kuna ugumu.
 
ila nahisi asv kupata kazi kwa asilimia kubwa inabidi uwe na connection.Ndo upate
 
Andaa pesa ya maji ya kunywa nenda pale kiwanda Cha polister tafuta supervisor umlinde
 
Ingia Pm nikupe namba ya supervisor wa polyster
 
Upo sehem gan, nenda pale chekelen kabla ya kufika mikese ukiwa unatokea mjin,kuna kiwanda cha nafaka kina rangi ya blue na nyeupe kinaitwa Mahashree onana na HR umueleze hiyo ishu, ila upitie mlango wa nyuma ndo mtaelewana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sehem gan, nenda pale chekelen kabla ya kufika mikese ukiwa unatokea mjin,kuna kiwanda cha nafaka kina rangi ya blue na nyeupe kinaitwa Mahashree onana na HR umueleze hiyo ishu, ila upitie mlango wa nyuma ndo mtaelewana

Sent using Jamii Forums mobile app
At least watu wa Moro mmetoa mwanga, Kuna wengne wapo dar Kila siku watu wakiomba michongo ni wanakutana na vitu vya ajabu ajabu... Hii nimeipenda
 
polister wanapokea watu asv
Wewe bado kufikia umri wa watu wazima kwani?, kiswahili kilichotumika ni ila unapitia mlango wa nyuma ndiyo mtaelewana, andaa hela ya maji ya kunywa ila, ila utamlinda. Hiyo misemo imeshajitosheleza harafu unauliza polister wanapokea watu kwani? ukitaka kujua kama wanapokea subiri wakitoa matangazo ya nafasi za kazi
 
Wewe bado kufikia umri wa watu wazima kwani?, kiswahili kilichotumika ni ila unapitia mlango wa nyuma ndiyo mtaelewana, andaa hela ya maji ya kunywa ila, ila utamlinda. Hiyo misemo imeshajitosheleza harafu unauliza polister wanapokea watu kwani? ukitaka kujua kama wanapokea subiri wakitoa matangazo ya nafasi za kazi
Zaman nlkuwa siamin connections ila nowadays naziamin 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda mazava nimesikia Kuna kazi, wanatafuta wafanyakaz.
 
Jaman kwa anayejua nafasi za kazi viwandani tusaidieni mkoani Morogoro plz
 
Back
Top Bottom