Nitapataje elimu ya kufunga antenna na madishi?

Nitapataje elimu ya kufunga antenna na madishi?

Kama ulitaka Cheti ungepiga Telecommunications yote hayo ungesoma mkuu, Ww tafuta fundi anza kumbebea kibegi chake huku ukichukua skills within a month kama kichwa kina chemka una master na kumuacha fundi na kuanza mishe zako personal
 
Kama ulitaka Cheti ungepiga Telecommunications yote hayo ungesoma mkuu, Ww tafuta fundi anza kumbebea kibegi chake huku ukichukua skills within a month kama kichwa kina chemka una master na kumuacha fundi na kuanza mishe zako personal
Pamoja sana mkuu
 
Back
Top Bottom