this time tomorow
Member
- May 11, 2013
- 7
- 0
Wengine wanasema hadi inawaka moto akimaliza anaenda kupepea na feni ipoe
Habari wana MMU,
Siku hizi nahisi hii nanilihii..... yangu inaishiwa nguvu kabisa,idadi nimepunguza kutoka 5 per night hadi 3 kiasi kwamba hata mke wangu ananifikiria vibaya labda kuna mahali nagegeda na hivyo basi naishiwa hamu na kipochi chake -hali hii ina sababisha ugomvi wa mara kwa mara kwa sababu ya wivu nyumbani kiasi kwamba naanza kuichukia ndoa yangu.
Sasa katika pita pita yangu nilishawahi kupata stori ya viagra na shughuli yake,sasa je nitaipata wapi ili niu boot mgegedo wangu na furaha ya ndoa irudi kama zamani?5(per night or more.)
Kila jamambo na wakati wake jamani ulikuwa na 5 per nit sasa ivi tatu ...... natabiri kadili siku zinavyozidi kwenda mbele utajikuta una uwezo wa 0.5 per nit.shukuru Mungu ulianza ukiwa juu yaani tano wnzio wanaanza hata hiyo 1 inakuwaga issue.
Alafu tano za kuku ama? kama ni za kuku mwambie shem ya kuwa umeimprove
ha ha ha wewe unapiga ngapi?a huste follower experience a sudden fallKila jamambo na wakati wake jamani ulikuwa na 5 per nit sasa ivi tatu ...... natabiri kadili siku zinavyozidi kwenda mbele utajikuta una uwezo wa 0.5 per nit.shukuru Mungu ulianza ukiwa juu yaani tano wnzio wanaanza hata hiyo 1 inakuwaga issue.
Alafu tano za kuku ama? kama ni za kuku mwambie shem ya kuwa umeimprove
Tatizo umeanzisha thread ya kinafki. Nimekueleza ukweli una mind ka dem aliyeachwa.
Na nina uhakika hujawahi kumfikisha dem wako, lait ningemjua................... angehamia airtel mara moja.
najua upo kwa ajili ya kuwasababishia watu ban mimi hunipati
mapovu yatapungua jamvini.
Nimeipenda iyoha ha ha ha ha u made my day......................................ha ha ha