Nitapata wapi tshirt za Diamond Platnumz?

wapi zinauzwa hiz?? nna shida nazo sana ani..anaejua aniambie plz...duka gani


Muulizie Wema kwani kuna ambazo alizibeba katika Gari yake wakati akienda Central wiki iliyopita atakupa tena ' bwerere ' kabisa.
 
Nenda ofisini kwake au nenda ig au fb kwenye account yake akikujibu nishtue na mimi nipate moja afu mbona kuna mapovuu ya geisha mengi humu kwani kujoin jana dhambi watu wana id kibao
 
Nenda ofisini kwake au nenda ig au fb kwenye account yake akikujibu nishtue na mimi nipate moja afu mbona kuna mapovuu ya geisha mengi humu kwani kujoin jana dhambi watu wana id kibao
IG msg hazijibiwi labda niende ofsin kwao sijui sinza
 
Usipo mjua basi mke wako anamjua kama una mke basi demu wako anamjua vizuri sana
Na yeye kasema hamjui mkuu na hajawahi msikia!!

Embu tueleweshane maana kuna majina mengi nayasikia humu mara konda..mara kiba huyu tena anaitwa diamond!! Siwaelewi kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…