Mkuu nenda nazo sokon , piga mafungu ,fungu moja 1000/= piga mafungu 15 tu kwa kila doo so utapata 5000 zaid
Hio ni kutokana 1000\= watu wataiona ndogo na itakua affordable kwa watu wengi tofaut na jumla ambayo lazima upate watu wanaotaka kutumia kwa ajil ya business