hebu tuondolee uchuro hapa mshaona uchaguzi serikali za mitaa umekaribia ndio mnataka kuanza kutupigia kelele na minyimbo yenu ya kishetani, nenda kawaulize lumumba buku 7 wakupe jibu.
nikiupata ule wa "kina dada tien(tieni), na wazee tieni(tieni),tieni tieni tienii kwa moyo mmojaaaa!!!nambari wani eeee,nambari wani ni...... wimbo unanikumbusha mbali sana ule...naweza upataje?