U uwemba1 JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 987 Reaction score 718 Mar 2, 2017 #1 Ninafikiria kuanza biashara ya kufuma nembo za shule. Ninaomba anaejua Ile mashine ya kufuma inauzwaje na wapi nawezapata anisaidie
Ninafikiria kuanza biashara ya kufuma nembo za shule. Ninaomba anaejua Ile mashine ya kufuma inauzwaje na wapi nawezapata anisaidie
A akazuba JF-Expert Member Joined May 16, 2014 Posts 533 Reaction score 485 Mar 2, 2017 #2 Ni pm namba yako tulimalize hili.
Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 20,804 Reaction score 41,891 Mar 2, 2017 #3 Duu hiyo nayo PM kazi ipo
kemi2011 JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 735 Reaction score 290 Mar 2, 2017 #4 Nenda Kkoo kwa mhindi mmoja anaitwa Katri lakini bei ni juiu sana kati ya Mil 6 hadi 8 kama sikosei
PMachage Member Joined Jan 31, 2017 Posts 55 Reaction score 29 Mar 3, 2017 #5 uwemba1 said: Ninafikiria kuanza biashara ya kufuma nembo za shule. Ninaomba anaejua Ile mashine ya kufuma inauzwaje na wapi nawezapata anisaidie Click to expand... Fika mnazi mmoja nyosha na uhuru road hadi mnara wa saa ulizia kay LMT bei rahisi sana. Km huwezi fika nitafute nikupeleke.
uwemba1 said: Ninafikiria kuanza biashara ya kufuma nembo za shule. Ninaomba anaejua Ile mashine ya kufuma inauzwaje na wapi nawezapata anisaidie Click to expand... Fika mnazi mmoja nyosha na uhuru road hadi mnara wa saa ulizia kay LMT bei rahisi sana. Km huwezi fika nitafute nikupeleke.