Heri ya krismass
Baada ya simu yangu kupigwa na wahuni wakati tukila gambe mbili tatu nimeona hali imekuwa mbaya kupata tena simu kamaya aawali, nimeamua nitafute walau note 3 , je kama unayo na najua zitakuwa nyingi sana mtaani hasa kipindi hiki cha masikuukuu magumashi mengi, nicheki tumalize biz fasta ule vizuri gudtime mwaka mpya.
Itakuwa poa kama upo Mwanza.