Basi hakikisha unatia kabari zote za huyo umpendae! Jaribu nafasi nyengine hata usiende kumuomba msamaha ila hakikisha msamaha anautoa kwa kupenda na sio kuombwa!!Kuna mtu,yupo,tayari,kunioa,na anajua nina,mtoto ila mi simpendi kabisa,sina hisia nae,na moyo unakataa,kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenz ni hisia sio kushow,off tu na mi nimeolew na mtu nisiempenda ndoa,ngumuAnayesababisha wanawake waliozalishwa bila ndoa kudharauliwa ni nyie wenyewe wanawake, sasa wewe mzazi mwenzio alishakuacha umepata bwana wa kukuoaa bado unataka kurudiana na alokuzalisha,utapigwa danadana utakuja kushtuka umri umeenda utabaki kudanga na kusema wanaume wote mbwa wakati wenzio wanaenjoy ndoa zao!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haBasi hakikisha unatia kabari zote za huyo umpendae! Jaribu nafasi nyengine hata usiende kumuomba msamaha ila hakikisha msamaha anautoa kwa kupenda na sio kuombwa!!
Wewe ni mtoto wa kike unajua udhaifu wa sie wanaume na vilevile unamjua vilivyo x wako!.. hakikisha unamuonyesha unampenda kwa vitendo piga mizengwe ya maana fanya visa vizuri mbele yake!.
Babaika juu yake mkumbushe maneno matamu kwa hisia kali, mkumbushe visa vyenu vizuri kwa maneno matamu!
Jipe muda, muda ndio muamuzi wa kila kitu. Wakati umejipa muda, hebu hamisha focus na uanze kujiangalia wewe kwanza. Jipende kwanza wewe halafu mengine yatatiririka mahali pake. Katika kujipenda wewe uta attract watu walio sahihi maishani mwako, utajua kuwa unastahili kilicho bora.Kuna mtu,yupo,tayari,kunioa,na anajua nina,mtoto ila mi simpendi kabisa,sina hisia nae,na moyo unakataa,kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni ke mkuu,mbona Kama hauko serious
Yamekukuta nini mamakeI feel you
Pole sana, jitahidi kuongea nae ikibidi mtafute ukaombe msamaha physically.
Ndio
nimeuliza kupata uhakika....Huyu ni ke mkuu,mbona Kama hauko serious
Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
Acha utoto. Unasubiri umpende mwanaume ili iweje? Muigize movie ya kihindi? Olewa ulee mwanao huyo baby daddy hapo keshamaliza au unasubiri akualike kwenye harusi yake? Utaishi kama bitter single mother huku kila mwezi anampa mkewe laki moja akutumie ya matumizi.Kuna mtu,yupo,tayari,kunioa,na anajua nina,mtoto ila mi simpendi kabisa,sina hisia nae,na moyo unakataa,kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Una miaka mingapi wewe dada?Jaman msiombe mtu umpende amenifanyia mambo mengi sana still nataman uwepo wake! Yan nikisikia saut yake bado naifeel mwili unataman awe ata karibu tule
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa,,,nimeuliza kupata uhakika....
poaSawa,,,
Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
Ndo mwanaum niliependa anioe jaman nina machungu mda mwingin akinipigia cm nakat akituma,message sijibu ila hasira zikiisha nampigia,ye,anapokea,tu hata hakat mi nafanya,coz,nina,hasira kwanini tumeachana
Sent using Jamii Forums mobile app
Keep yourself occupied punguza kuongea naye maana utapata tabu sanaTumeachana mwezi wa kwanza lakin mi bado nampenda na ninamkumbuka mda wote chanzo mara ya kwanza akaomba yeye tuachane sababu ni kwamba kila kitu nalalamika kuhusu yeye akanambia kwamba mimi naona sikudeserve tuachane.
Ugomvi ulikuwa mkubwa ndugu wakaingilia kati wakatupatanisha mapenzi yakaendelea ugomvi wa sasa chanzo ni mimi ataki kunisamehe kabisa ila nikimpigia anapokea cm tunaongea tu poa ila sio mambo ya mapenzi tena nifanyej bado roho inaniuma!!
Nikisikia sauti yake nikishakata siim roho inauma natamani tuendelee kuongea tu najisikia raha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app