Nitampata wapi huyu mrembo hapa JF

msalimie mwambie naumwa tena sbb ya kummiss sijui nguo zake wameziloweka tena!yaani hommie wako ananiweka roho juu kweli,sili silali namuwaza tuuu!

safari hii nilikuwa kibiti mpenzi, tigo naona haijafika huko ningekucheki,😀

mimi hapa sasa.....nasikia kuna vijana walipita kuomba maji ya kunywa?😕
 
Kamata hiyo hapo kwenye red, then
kama hana mvuto, peleka salon
kama hana umbo la kibantu tumia mchina
kama hajui kuimba mwambia aanze kuimba kwaya kanisani
kama hapendi watoto, mpeleke kijijini kwa miezi miwili
kama hana ngozi nyororo mnunulie vaseline katoni moja.
 
Nguli kiukweli umetokaa na mpya verse
Binti wa sifa zote hizo kumpata ni kasheshe
Mmoja kumpata sita sifa zimempwaya
Hakuna wa kuingia pasipo kasoro wala kiporo

Nimeamasika kusaka urembo si mchezo
Mkamate mwenye pungufu tatu kasoro
Kila mmoja kapata nusu na hakuna mwenye kamili
 
Studio unaenda lini?
 
Kiongozi umeamua kuwa dalali wa waifu wangu siyo?

I will be back.
 
safari hii nilikuwa kibiti mpenzi, tigo naona haijafika huko ningekucheki,😀

mimi hapa sasa.....nasikia kuna vijana walipita kuomba maji ya kunywa?😕

mpenzi wangu nashukuru wamekuachia urudi nyumbani,yaani tokea uondoke sijala ki2 nashindia maji 2.ukiendelea hivi huu mwili utaisha kwa mawazo.

mpenzi wangu umesahau kuwa mi situmii tigo hivyo hata ungepiga ungesikia tu..da namba ur calin iz not richebo..

ni kweli kuna vijana fulani walipita hapa kuomba maji halafu nikawaomba wanisaidie kutengeneza kitanda kililegea mguu.hivyo ukisikia kuna vijana nilikua nao chumbani usinielewe vibaya.
mpenzi wangu nakukaribisha kwa wimbo wa miondoko ya kwetu uitwao subalkheri mpenzi..waonaje hali yako....enjoy.
 
Hommie hajawahi kunitilia mashaka, so usijali. Huo wimbo kwa hommie unapoteza muda bure. Labda huu...................

Aramba aramba tenaaa.......... ammmmm ammmmm!
 

mi hapo tu,

hali yangu kama yako

nalimiss pendo lako!😀

halafu nilivo mwelewe, nitakuelewaje vibaya na wewe wanielewa ivyo mpenzi.,

tanga line is here to stay🙄
 
Hommie hajawahi kunitilia mashaka, so usijali. Huo wimbo kwa hommie unapoteza muda bure. Labda huu...................

Aramba aramba tenaaa.......... ammmmm ammmmm!

hommie nilidhani wewe fundi bomba kumbe na useremala pia?
 
mi hapo tu,

hali yangu kama yako

nalimiss pendo lako!😀

halafu nilivo mwelewe, nitakuelewaje vibaya na wewe wanielewa ivyo mpenzi.,

tanga line is here to stay🙄

Hommie unazeeka vibaya.

The needful unachelewa ujue? LOLZ!
 
Hommie unazeeka vibaya.

The needful unachelewa ujue? LOLZ!


hommie apo ungejua....uliona wapi mwanaume anazeeka..achilia mbali vibaya...unataka shemeji Charity a do ze nidiful akupeleke angaza kwa lazima? LOL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…