Nitampata wapi Delila wangu?

belionea

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2014
Posts
1,053
Reaction score
923
Mimi ni Samson, Namtafuta mdada yeyote anaeitwa Delila..
Tangu naanza kusikia habari za samsoni na delila sijawahi fanikiwa kumwona mdada anaeitwa ivo, kwaiyo namtafuta huyo mdada kama vipi tuanzishe mahusiano, Naitwa Samson.kama ni ww ni pm
 
Toka nimezaliwa nimewahi kumwona delila mmoja tu
 
Nimeku-pm namba ya Delila.. (kwa ruhsa yake)
 
hahahaha sidhani kama unamaanisha delila wa Bible maana ukimpata huyo lazma akuuze kwa wafilist, unyolewe nywele na wakung'oe macho shauri zako. otherwise badili hilo jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…