SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 5,129
- 7,898
Jana Simba ilimpa mkono wa kwaheri Peter Banda. Katika tukio nitakalomkumbuka zaidi ni katika mechi ya Simba vs Singida ya msimu uliopita, ambapo alifunga goli halafu baadae akaumizwa.
Tukio lenyewe lilikuwa ni kanzu moja matata sana alimpiga mchezaji wa Singida. Nakumbuka niliwahi kumpiga jamaa mmoja kanzu kama hii na ni wachezaji wachache sana duniani wamewahi kuipiga.
Kanzu hii inaparaza unywele wako kama wembe namba 8 wa kinyozi na ukiruka na mpira nao automatically unasogea kwenda juu kwa umbali ule ule ulioruka ili kanzu yenyewe isisumbuliwe.
Mimi nilipoipiga mshkaji alinimind sana, baadae nilipotaka kuirudia akanipiga bonge la mtama. Sina kumbukumbu kama mchezaji aliyemchezea rafu Banda siku ile ndiyo alikuwa mhanga wa ile kanzu ila sitashangaa maana ni kanzu inayokera sana.
Tukio lenyewe lilikuwa ni kanzu moja matata sana alimpiga mchezaji wa Singida. Nakumbuka niliwahi kumpiga jamaa mmoja kanzu kama hii na ni wachezaji wachache sana duniani wamewahi kuipiga.
Kanzu hii inaparaza unywele wako kama wembe namba 8 wa kinyozi na ukiruka na mpira nao automatically unasogea kwenda juu kwa umbali ule ule ulioruka ili kanzu yenyewe isisumbuliwe.
Mimi nilipoipiga mshkaji alinimind sana, baadae nilipotaka kuirudia akanipiga bonge la mtama. Sina kumbukumbu kama mchezaji aliyemchezea rafu Banda siku ile ndiyo alikuwa mhanga wa ile kanzu ila sitashangaa maana ni kanzu inayokera sana.