habari wakuu,
ni miezi zaidi ya mitano tangu niachwe,
nimeumia hadi nimekuwa sugu,kinachonileta kwenu ni hiki,
wiki moja baada ya kuachwa kabla hatujaenda kwenye research my x alinambia eti kuna mwanamke anamtaka afanyeje?nilichukia sana nikamjibu mkubalie,
akadai nitamcheka ,
ninachoomba ushauri ni VP nitamkwepa huyu maana nasoma nae kozi moja na darasa moja,kwa sasa hatuna mawasiliano yoyote maana najua ana MTU japo simjui,kuna kipindi tushapangwa kuwasilisha mada ila tulikuwa hatujaachana,
wajuzi tafadhali maana tutakuwa wote kwenye vipindi kwa miezi saba na darasani tupo sabini
nataka nifaulu plz nipeni mbinu
The basics hapa ni mawili,SOMA SANA kashakuacha umeumia na shule pia ikushinde,naaah,make sure unafauluuu tena kuliko yeye ikibidi.,DATE OTHER GUYS inahusu kukaa na maumivu ye ana mtu mwingine,he no longer cares ,get to know other men,(dont sleep around,utajuta) and have funnnn ,utamsahau yeye na maumivu,and it will give u a better chance to meet a potential suitor...
habari wakuu,
ni miezi zaidi ya mitano tangu niachwe,
ninachoomba ushauri ni VP nitamkwepa huyu.
nataka nifaulu plz nipeni mbinu
Heri ya pasaka,kwa kifupi nahitaji msaada wa mawazo,nilikuwa na mchumba mpendwa ktk Bwna kama mimi,na tangu mwanzo tulikubaliana sisi kama wakristo hatutakiwi kufanya tendo la ndoa hadi wkt wa ndoa,hilo lilipita bila kupingwa,na ktk kipindi hicho alisema mwk 2012 angeenda kujitambulisha na kwa bahati baba yake kamjibu hadi arudi nchini december,
Sasa ni hv majuzi niligundua kitu,nilikutana nae maeneo ya mlimani city,wkt nipo nae best yangu akawa amenipigia cm kwmba amekuja dar,cm yangu haikuwa na hela nikaomba yake niitumie kumjibu best,nikajikuta inbox nikapigwa na butwaa kwa kuona msg zinaonesha ametoka kufanya uzinzi siku 2 nyuma.
Niliamua kumuuliza ili aniambie ukweli na alikiri kwmba shetani alimpitia anaomba nimsamehe kwa uzinzi wake,ila nimeshndwa kumsamehe na uchumba nimeuvunja je?wapendwa nipo sahihi?naombeni mawazo yenu!
Habari wakuu,nimeona nishare nanyi yaliyonikuta mwenzenu, Nilikuwa na mchumba wangu niliyempenda sana ila yeya alinitamani kwa mujibu wake,nikiwa kama binti ninaejua umuhimu wa kusaidia wengine Mungu kanijalia roho ya utoaji,kwa wale waliokaribu nami wa kiume na wakike,na hii imenifanya niwe na marafiki wengi ambao tunasaidiana katika mambo mengi.
Ishu iko hapa,mchumba wangu huyu tumesaidiana katika mambo mengi ila sio ya kifedha kwa upande wake na sikumbuki kama aliwahi kunipa hata mia,nilimpenda sana na kumwombea kama mume wangu,kwa bahati mbaya sikujua kumbe nimetamaniwa.
Sikumoja alipoteza simu na hii ni kwa mujibu wake akiwa kwenye bodaboda
wewe kama mkristo kuwa na imani yote utayashinda katika yeye akutiaye nguvu...be at peace with yourself and let it go....tulikubaliana sisi kama wakristo hatutakiwi kufanya tendo la ndoa hadi wkt wa ndoa,
habari wakuu,
ni miezi zaidi ya mitano tangu niachwe,
nimeumia hadi nimekuwa sugu,kinachonileta kwenu ni hiki,
wiki moja baada ya kuachwa kabla hatujaenda kwenye research my x alinambia eti kuna mwanamke anamtaka afanyeje?nilichukia sana nikamjibu mkubalie,
akadai nitamcheka ,
ninachoomba ushauri ni VP nitamkwepa huyu maana nasoma nae kozi moja na darasa moja,kwa sasa hatuna mawasiliano yoyote maana najua ana MTU japo simjui,kuna kipindi tushapangwa kuwasilisha mada ila tulikuwa hatujaachana,
wajuzi tafadhali maana tutakuwa wote kwenye vipindi kwa miezi saba na darasani tupo sabini
nataka nifaulu plz nipeni mbinu
ili mtu awe ex-girlfriend wako mpaka muwe mmeoana na kuachana?
Chuoni sio kila anayesoma ni mtoto mdogo wengine wapo na age ambayo inawaruhusu kuoa kabisa na wana kazi zao! Therefore kama anataka mchumba lazima apate hapo hapo!
So dont judge that way!
Mkuu hongera kwa kuwa mtunza kumbukumbu mzuri...nadhani huyu si wakwanza..jaribu kumsahau kama hawa wawili ulivyowasahau...
Wapendwa naomba jibu
Started by EPORA, 9th April 2012 18:13
Niliachwa kisa elfu sitini
Started by EPORA, 10th June 2014 16:36
wewe kama mkristo kuwa na imani yote utayashinda katika yeye akutiaye nguvu...be at peace with yourself and let it go....
habari wakuu,
ni miezi zaidi ya mitano tangu niachwe,
nimeumia hadi nimekuwa sugu,kinachonileta kwenu ni hiki,
wiki moja baada ya kuachwa kabla hatujaenda kwenye research my x alinambia eti kuna mwanamke anamtaka afanyeje?nilichukia sana nikamjibu mkubalie,
akadai nitamcheka ,
ninachoomba ushauri ni VP nitamkwepa huyu maana nasoma nae kozi moja na darasa moja,kwa sasa hatuna mawasiliano yoyote maana najua ana MTU japo simjui,kuna kipindi tushapangwa kuwasilisha mada ila tulikuwa hatujaachana,
wajuzi tafadhali maana tutakuwa wote kwenye vipindi kwa miezi saba na darasani tupo sabini
nataka nifaulu plz nipeni mbinu
pole sana,unaweza kuja tu kwanguhabari wakuu,
ni miezi zaidi ya mitano tangu niachwe,
nimeumia hadi nimekuwa sugu,kinachonileta kwenu ni hiki,
wiki moja baada ya kuachwa kabla hatujaenda kwenye research my x alinambia eti kuna mwanamke anamtaka afanyeje?nilichukia sana nikamjibu mkubalie,
akadai nitamcheka ,
ninachoomba ushauri ni VP nitamkwepa huyu maana nasoma nae kozi moja na darasa moja,kwa sasa hatuna mawasiliano yoyote maana najua ana MTU japo simjui,kuna kipindi tushapangwa kuwasilisha mada ila tulikuwa hatujaachana,
wajuzi tafadhali maana tutakuwa wote kwenye vipindi kwa miezi saba na darasani tupo sabini
nataka nifaulu plz nipeni mbinu