Nitakushauri hapa hapa kama unainterview

Nitakushauri hapa hapa kama unainterview

hamibenz

Member
Joined
Sep 27, 2014
Posts
44
Reaction score
15
Habari ndugu
Sinasomea HR lakini nina uzoefu wa kufanya interview kwa kusoma sehemu tofauti tofauti na kuifanya pia
Niulize kama umeitwa kwenye interview
Natanguliza shukurani
 
Mkuu sijakuelewa,naomba ufafanuzi zaidi pengn madhumuni ya bandiko yanaweza kua na msaada
 
what is your attributions towards the company?
 
Ndugu nafikiri hujanielewa, ww ushajua swali unalotaka kwenda kuulizwa bs haina haja, u js google na umeze tu

Sasa kipi unakijua wewe ambacho google hatuwezi kupata, acha ufal.a
 
Sasa kipi unakijua wewe ambacho google hatuwezi kupata, acha ufal.a
Ni hivi, ukiitwa kwenye interview sehemu, unatakiwa 1.)ukisome kile ulichoomba in general.
2.) Uisome kampuni husika pamoja na mission, vission zao, wapo tangu mwaka gani, uisome report yao ya karibuni ili ujue wapi waliposhindwa au wapi walipo fanikiwa- kama una muda
3. Unataliwa uzijue zile Duties zilizoandikwa kwenye maombi ya kazi- mara nyingi ukiulizwa utafanya nn basi jibu linatoka hapa au jtaulizwa direct
4. Ujue kwa nafasi uliomba report gani unaanda either kwa siku, wiki au mwezi ya kumtumia senior wako
That y nikaomba aliekua hajwahi kufanya interview hata mara moja aje tushauriane cjataka mwenye swali lake binafsi
 
Ni hivi, ukiitwa kwenye interview sehemu, unatakiwa 1.)ukisome kile ulichoomba in general.
2.) Uisome kampuni husika pamoja na mission, vission zao, wapo tangu mwaka gani, uisome report yao ya karibuni ili ujue wapi waliposhindwa au wapi walipo fanikiwa- kama una muda
3. Unataliwa uzijue zile Duties zilizoandikwa kwenye maombi ya kazi- mara nyingi ukiulizwa utafanya nn basi jibu linatoka hapa au jtaulizwa direct
4. Ujue kwa nafasi uliomba report gani unaanda either kwa siku, wiki au mwezi ya kumtumia senior wako
That y nikaomba aliekua hajwahi kufanya interview hata mara moja aje tushauriane cjataka mwenye swali lake binafsi
Thanks umenisaidia. Nikifanikiwa utakunywa soda
 
Back
Top Bottom