Nitakupwelepweta

Zamaulid

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2009
Posts
19,966
Reaction score
16,019
aaaaah!hawa vijana wanastahili pongezi japo sijui hiyo maana ya 'nitakupwelepweta'

...una sifa ya kuogopwa kama defender
...sitaki nizikwe na kilo mbili kwenye mfuko
...sitaki familia ilie kwa sababu yako
...ananitegemea mama...nikifa atalia sana
...katika familia nami ni baba...japo baba yupo


...kuku wa kizungu mchinjaji hana tabu
...hebu niache...unapita na dumu la petrol

...una rambo?...mi nina mua
 
Last edited by a moderator:
...ni ujinga ujinga tu...mi hujaniua
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…