Nitakupenda daima na wala sitokuacha sahau hilo

Nitakupenda daima na wala sitokuacha sahau hilo

Nanukuu, "huwezi kuacha kumpenda mtu,NI MAWILI either utaendelea kumpenda au hukuwahi kumpenda"

Uzoefu binafsi unaonyesha hicho ulichokisema sio kweli. Kuna heart breaks
 
hahahahahah...kuna mwanamke aliniambia tukiachana lazima achepuke na mimi ata kama nikioa sasa nina plan kuvuta jiko nasubiri hiyo ahadi yake.wanawake wengine hawajielewi kabisa
 
Shetani alimpitia, sometime second chance it works out
 
Mimi huwa siwaelewagi hawa watu wanaoitwa ma Ex.

Unaweza kuachana na mtu na kila mtu akawa na maisha yake labda Kaoa/Kaolewa, ila kutwa kucha kakuganda utafikiri alizaliwa na wewe.

Mtu Kama alikuwa anakupenda haimaanishi atakupenda milele, ama mlikuwa wapenzi basi mapenzi yataendelea hata mkiachana, upendo huisha.

Mtu anatoka huko atokako "oooh, wewe utabaki kuwa wangu tu milele, sikuachi sahau" na fujo kibao utafikiri mliandikiana mkataba wa maisha.

Ukiamua kuacha kitu kiache mazima sio unakiacha huku moyoni unakitaka bado. Hasa Wanaume umemuacha mtu umeenda huko au umeoa yamekubumia unarudi kusumbua watu na ubabe juu, visa mtindo mmoja kuwakosesha raha watu muache iyo tabia mnakera sana.
pyeeeeee
 
Umenikumbusha ex-g'friend wangu, ila ndio hivyo yalishapita siwezi kumtafuta tena yaliyopita yamepita.
 
Back
Top Bottom