Nimeona uzi mwingine wanadai kaimbiwa ex wake wa juzi
Nimewauliza aliutekodi lini na kamtaja wapi hawasemi maana D amekuwa na ma ex wengine pia.
Labda mtu atajibu hapa
Diamond ana nyimbo nyingi anarekodi vipindi tofauti hata za zamani bado anazo ajazitoa alisema yeye.