afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,728
akikujali katika hali zote kama alivosema jifanye umepoteza hela af uone kama atasaidi bill au atakupa strength



kama UKAWAMahana ndo nini?Naomba kuuliza jamani mahana hawa wanawake nashindwa Ku waelewa hiv tabia ama matendo ya mwanamke anae kupenda kiukweli niyapi? na muongo ni yapi?
Hahahahaha jamiiforums raha sana kwa kweliMwamkie shikamoo akisema marahaaba basi anakupenda..
No ajitupe toka ghorofa Ya 3 hivi akiweza kumdaka anampenda! Akimkosa tu akatua chini hampendiKosa pesa hapo ndiyo utafahamu kama unapendwa au hupendwi
jitupe toka ghorofa Ya 3 hivi akiweza kukudaka anakupenda! Akikukosa tu ukatua chini hakupendiNaomba kuuliza jamani mahana hawa wanawake nashindwa Ku waelewa hiv tabia ama matendo ya mwanamke anae kupenda kiukweli niyapi? na muongo ni yapi?
A human being is the most complex animal on the world....! You can study even a snake/lion and understand their behaviors for 100%...! But not a human being, particularly a woman...!Naomba kuuliza jamani mahana hawa wanawake nashindwa Ku waelewa hiv tabia ama matendo ya mwanamke anae kupenda kiukweli niyapi? na muongo ni yapi?