Nitajinasuaje?

Penzi jipya hilo braza..

Time heals, "Every thing will be okey and normal for you"

Muheshimu sanaa MKEO kwasababu vya huyo mchepuko soon utavizoea na kuviona kama upepo tuu na hapo ndio Utauona umuhimu wa mkeo kwa mara nyengine..!!!

#YNWA
USHAUR mzuri Sana utafkiri uko kwny ndoa
 
Mimi sio mtabiri lkn nakuhakikishia huyo mdada sio kale kembambaaaa mana twembamba hatunaga maji zaidi ya mishimo mikuuubwa isiyo na mwisho, samahani lkn wembamba
Sure ni mfupi kiasi na mwili kiasi kama lulu wa magizoo afu nyuma kafungasha
 
Jf sijui imekuja kuwaje siku hizi?

Mada hizi nyingiiiiii
 
Yah man, cheating ina madhara makubwa sana mkuu, hasa mwanamke akishajua.
Mimi sikushauri uwe na makandokando kama mke wako ni mwaminifu, na anakuamini. Hiki ndiyo chanzo cha migogoro mingi ya ndoa.
Chukua ushauri huu ndugu Yesu akupe kushinda
 
USHAUR mzuri Sana utafkiri uko kwny ndoa
Ma single huwa tunaushauri mzuri wa ndoa..
Ndio maana makocha wengii hawakuwahi kuchezea ligi yoyote kubwa zaidi ya za mchangani tu.

Sasa sisi huu uhusiano wetu wa mchangani unatosha kabisaa kutupa experience..!!!

#YNWA
 
Jamaa azingatie ushauri huu.
 
Penzi jipya hilo braza..

Time heals, "Every thing will be okey and normal for you"

Muheshimu sanaa MKEO kwasababu vya huyo mchepuko soon utavizoea na kuviona kama upepo tuu na hapo ndio Utauona umuhimu wa mkeo kwa mara nyengine..!!!

#YNWA
Neno la busara sana hili Mzee.
 
Acha ufala we kamua tu.
 
Mkuu kama mzigo uko hv pole sana...ndio utaelewa maana ya kufa na kuzikana...
 
Islam is a solution.
 
Ninachoogopa sana wife asije kujua.
atajua.


wanawake wana six sense

inawezekana anatafuta ushahidi

be careful ndugu

unaenda kuharibu famikiabyako kisa " maji"

na kinachokusumbua sio maji ni penzi jipya.... na litakuponza!!!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…