Nitajinasuaje?

Penzi jipya hilo braza..

Time heals, "Every thing will be okey and normal for you"

Muheshimu sanaa MKEO kwasababu vya huyo mchepuko soon utavizoea na kuviona kama upepo tuu na hapo ndio Utauona umuhimu wa mkeo kwa mara nyengine..!!!

#YNWA
 
Penzi jipya hilo braza..

Time heals, "Every thing will be okey and normal for you"

Muheshimu sanaa MKEO kwasababu vya huyo mchepuko soon utavizoea na kuviona kama upepo tuu na hapo ndio Utauona umuhimu wa mkeo kwa mara nyengine..!!!

#YNWA
Asante mkuu
 
alafu ni kweli
Mleta mada tunasubiri mrejesho
Sio mimi tu hata mwanaume yeyote yule hawezi kumwambia mke wake hivyo, isipokua labda hampendi.
 
Acha kabisa sana sana Binti zangu wawili wakiniona utasema wameona almasi.
 
Umefikisha Umri gani Mwaka huu?

Tuanzie hapo kwanza.

Maana vijana vidogo vinakuwa na majukumu kabla ya Umri na vinajisahau kama NGOMA YA WATOTO HAIKESHI.
 
Umefikisha Umri gani Mwaka huu?

Tuanzie hapo kwanza.

Maana vijana vidogo vinakuwa na majukumu kabla ya Umri na vinajisahau kama NGOMA YA WATOTO HAIKESHI.
Umri si haba mwezi wa nane mwaka huu najaza 37
 
Sio mimi tu hata mwanaume yeyote yule hawezi kumwambia mke wake hivyo, isipokua labda hampendi.

Kama ni hivo bas rudisha majeshi kwa mkeo ili uache kuishi kwa wasiwasi

Tatizo tamaa zinawasumbua
 
Basi kuna vingi ulitakiwa kujifunza kabla ya Umri wako ila sio mbaya utafika tu Mkuu ila jiandae kisaikolojia...
Asante. Nitajitahidi kupambana na matamanio ya dunia hii
 
Mwambia asikojoe mara 4 na wewe acha kukojoa mara 4 hapo utakuwa umejinasua
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…